Umenena vyema, ila wembe wa kwanza ni kijani na wa pili kijani na watu ni rangi nyeupe. Means wa kwanza ni kura za maoni kama ulivyosema na wapili ni kamati kuu bado ni ndani ya wazee wa kijani. Watatu hatujafika, huo ndio uchaguzi mkuu ambapo kijani na wasio kijani watachuana. Mimi nimedrive kutoka kwenye idea yako mkuuWembe wa kwanza ni kura za maoni CCM wamekatwa wengi sana wamekufa angalia ivyo vichwa vizuri.
Wembe wa pili ni uchaguzi mkuu mtu unajipelekea mwenyewe kujua hatma yako utakatwa au utatoboa wasiwasi ni mwingi si umeona huyo jamaa ameweka shingo anasubili atatoka salama au naye atakatwa.
Wembe namba 3 salama hauna mtu hii inamaana huo ni uongozi au bado hatujafika uko Kwaiyo hakuna madhara kwa sasa.
Sawa mkuu umejazia nyama huwenda alikuwa anamaanisha hivyo.Umenena vyema, ila wembe wa kwanza ni kijani na wa pili kijani na watu ni rangi nyeupe. Means wa kwanza ni kura za maoni kama ulivyosema na wapili ni kamati kuu bado ni ndani ya wazee wa kijani. Watatu hatujafika, huo ndio uchaguzi mkuu ambapo kijani na wasio kijani watachuana. Mimi nimedrive kutoka kwenye idea yako mkuu
Wajumbe wa CCM hao washafanyaga yao kitambo.