Ndugu Wadanganyika .....hapo hatoboi upande wa pili.......lakini ghafla kutoka kwenye korongo wanaibuka polisi na tume ya uchaguzi wanamnyakuwa kama afanyavyo SpiderMan.....da..da...ni kivumbi tu hapa na vitu vyenye ncha kali vimezagaa kila eneo........nini tene....aahhhh...naona Chawa wote wanainama na kusujudi huku wakiimba kazi iendeleee....huku wakielekea uwanja wa Uhuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.