Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Uongozi wa CHADEMA umesema kuwa wanajiweka karantini katika juhudi za kupambana na Corona, hii si mbaya kutokana na hali ilivyo.
Iwe ni kwenye KAMPENI hapo baadae au sasa hivi, atakayeuliza kwa nini CHADEMA hawahudhurii Bungeni, aulize pia kwanini Raisi Magufuli ameenda kujificha Chato? Nasema ni kujificha kwasababu ikulu Rasmi ni Magogoni, Chamwino tunasubiria atangaze rasmi kuhamia.
Tunatambua kuwa kila wilaya na mkoa una ikulu ndogo ambazo hata Maraisi wengine walikuwa wakifikia wakiwa kwenye ziara ama kampeni, lakini hii ya kukaa siku 35+ (Tangu tarehe 28 March, 2020) hajawahi kutokea. Hata Nyerere alikuwa akienda Butiama ila hii.. Ni kukimbia mpambano wa Corona.
Hivi na Mabunge ya EAST AFRICA yanaendelea?? Tumezoea Bunge la bajeti katika nchi za Afrika Mashariki zikiwa kwenye vikao vya Bunge katika kipindi kinachofanana. Hata Bajeti kuu husomwa kwa siku moja.
TUENDELEE KUJILINDA NA CORONA
Iwe ni kwenye KAMPENI hapo baadae au sasa hivi, atakayeuliza kwa nini CHADEMA hawahudhurii Bungeni, aulize pia kwanini Raisi Magufuli ameenda kujificha Chato? Nasema ni kujificha kwasababu ikulu Rasmi ni Magogoni, Chamwino tunasubiria atangaze rasmi kuhamia.
Tunatambua kuwa kila wilaya na mkoa una ikulu ndogo ambazo hata Maraisi wengine walikuwa wakifikia wakiwa kwenye ziara ama kampeni, lakini hii ya kukaa siku 35+ (Tangu tarehe 28 March, 2020) hajawahi kutokea. Hata Nyerere alikuwa akienda Butiama ila hii.. Ni kukimbia mpambano wa Corona.
Hivi na Mabunge ya EAST AFRICA yanaendelea?? Tumezoea Bunge la bajeti katika nchi za Afrika Mashariki zikiwa kwenye vikao vya Bunge katika kipindi kinachofanana. Hata Bajeti kuu husomwa kwa siku moja.
TUENDELEE KUJILINDA NA CORONA