Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,239
Mungu ibariki Chadema
Wanaoishangaa chadema waulize msikiti wa mtoro,Rais amezungukwa na washauri
Yeye hafanyi maamuzi anafuata Maelekezo
Chadema msijifiche kwa Rais mmtusaliti wapiga kura wenu tunawasubiri October tuwafute kwenye Siasa za Upinzani Tanzania
Aah huyu ni CCM bwana kila siku wako sawa na yule ni Chadema kila siku hawako sawa.Uongozi wa CHADEMA umesema kuwa wanajiweka karantini katika juhudi za kupambana na Corona, hii si mbaya kutokana na hali ilivyo.
Iwe ni kwenye KAMPENI hapo baadae au sasa hivi, atakayeuliza kwa nini CHADEMA hawahudhurii Bungeni, aulize pia kwanini Raisi Magufuli ameenda kujificha Chato? Nasema ni kujificha kwasababu ikulu Rasmi ni Magogoni, Chamwino tunasubiria atangaze rasmi kuhamia.
Tunatambua kuwa kila wilaya na mkoa una ikulu ndogo ambazo hata Maraisi wengine walikuwa wakifikia wakiwa kwenye ziara ama kampeni, lakini hii ya kukaa siku 35+ (Tangu tarehe 28 March, 2020) hajawahi kutokea. Hata Nyerere alikuwa akienda Butiama ila hii.. Ni kukimbia mpambano wa Corona.
Hivi na Mabunge ya EAST AFRICA yanaendelea?? Tumezoea Bunge la bajeti katika nchi za Afrika Mashariki zikiwa kwenye vikao vya Bunge katika kipindi kinachofanana. Hata Bajeti kuu husomwa kwa siku moja.
TUENDELEE KUJILINDA NA CORONA
Kweli imezungukwa na wahuni kama wewe,kwani hujamsikia mama Samia?
Fafanua vizuri kwa tusioujua