Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

Status
Not open for further replies.
Usihukumu broo
Mtu mwenye matatizo namna hiyo huwa haaniki matatizo yake mtandaoni, bali he confides na watu wa karibu yake, this is very serious, huyu hawezi kuwa anasema ukweli, he feeds on Sympathy and attention, believe me. Mtu yupo JF toka 2013, hadi leo ni member, na anaonekana ni mzoefu wa kutumia JF, sasa hii sio account yake ya kila siku, ili miezi minne ikiisha anaacha kuitumia hii na anarudi kwenye account yake ya siku zote.
 
Mtu mwenye matatizo namna hiyo huwa haaniki matatizo yake mtandaoni, bali he confides na watu wa karibu yake, this is very serious, huyu hawezu kuwa anasema ukweli, he feeds on Sympathy and attention, believe me. Mtu yupo JF toka 2013, hadi leo ni member, na anaonekana nj mzoefu wa kutumia JF, sasa hii suo account yake ya kila siku, ili miezi minne ikiisha anaacha kuitumia hii na anarudi kwenye account yake ya siku zote.
Jaribu kucheki ananyuzi ngapi na amechangia mara ngapi na katika nyuzi gani na alikuwa anazungumzia nini
 
Ndugu zangu,

Mimi ni kijana wa pekee na wa mwisho katika familia yetu yenye jumla ya watoto sita. Ni familia ya kimaskini ila watoto tunafanya kila linalowezekana kuhakikisha tunapunguza ukali wa maisha hapa nyumbani kwa kufanya kazi bila kuchoka usiku na mchana ila changamoto kubwa imekuwa husuda na kijicho kwa majirani zetu ambao wanahaha kushika shati familia hii kwa ushirikina lakini mbali na hayo yote (we never give up united we stand and moves foward regardless our acceleration toward our goals).

Binafsi mimi ndio muhanga na muathirika mkubwa kwa hili gumu kwani kwa zaidi ya miaka 19 hadi sasa ndugu zangu sijawahi kuwa na furaha maishani mwangu, (trust me its all about misery, sickness, lack of affection, unlucky) na mambo mengi mabaya kwa binadamu.

(There comes a times it feels like the world is upon my shoulder can't take this shiit no more) nimejaribu kuwa mwema, muungwana na mnyenyekevu kwao bila mafanikio sitaki kuchuma dhambi tena kwa mateso niliyopata katika dunia hii imetosha Mungu ni mwema atanipumzisha milele kiumbe wake (ain't fear death because its inevitable am ghood to go for it for their happiness and fantasy).

Nilikuwa na (plan) ya kutafuta (anyone with the solution) kwa maana ya (traditional healer) au yeyote mwenye productive ideas aweze nisaidia NITOE AWARDS ya tshs milioni moja but naona kama (its a waste of time) watu nao wamekuwa matapeli tu (nowdays).

Yaani (we living in crazy time folks) nimetibiwa na wataaalamu wa tiba asilia, hospitali za rufaa na kuombewa na wachungaji lakini hooa hell no! Mungu ananitaka mwanae si bure na (he is the master of the people so far so am good} to go though ukioniona( live) huwezi hata kuhisi kama mimi ni mgonjwa huwezi.

Nimetoa dukuduku langu nahisi kama (relief) fulani nimepata.

Kila la kheri wandugu.
Unataka utibiwe ili usiwe unachanganya lugha ya kiswahili na kiingereza? Mbona iko poa tu kwani hata bungeni wanachanganya.
 
Jaribu kucheki ananyuzi ngapi na amechangia mara ngapi na katika nyuzi gani na alikuwa anazungumzia nini
The only way mtu anaweza kuwa mzoefu wa JF na akabaki kuwa member for over 5 years ni if hiyo account ni ya kuzugia tu, ila ipo ambayo anaitumia kila siku, he is an attention and sympathy seeker,either ana matatizo ya kisaikolojia au ni tapeli!
 
Mku pole sana.
Matatizo yapo mengi yanatuzunguka ila hupita kupitia ushauri na Maombi.
Katika kuumwa na tatizo likachukuwa muda huwa tatizo kiakili ili kuondoa hili tatizo Maombi kwanza na katika maombi jiaminishe kupoma.
Na matumaini utakayoyapata ndani ya wiki jitahidi kutafuta jambo lolote kukufanya usahau tatizo kwa njia ya mazoezi sio mpaka uende uwanjani kama ukiamua kufanyia chumbani mpaka ukatoka jasho hii itakusaidia kukusahaulisha utanza kuona mabadiliko kidogokidogo.
Vituo vya Maombi vipo viwili Emaunsi hapo ubungo na kingine kipo Kibanda cha mkaa mbezi ya kimara kama unatatizo zaidi unalazwa na kupata huduma ya maombi na saikolojia hivi vituo viko chini ya Kanisa la Roma.
Maombi kwanza ndio njia ya kuanzi na Mungu atakuonyesha t add tatizo na uponyaji kabisa.
Mungu akuponye
 
You make me sad honestly.. Kwann hutaki kufanya vipimo nilivyo kushauri, utakwenda bugando hata miaka 100 Kama utaweza kuishi hutopata jibu kwasabab nimekuambia tatizo Hilo linalosumbua familia yenu bado lipo kwenye research, madaktari hawajaanza kufundishwa bado! Tuma urine and blood sample marekani watakupima baada ya week 2 utakuwa umepata majibu, kwann usinipatie namba ya simu ya member yoyote wa familia yako au mama yako pengine atasikia, kuna sababu gani ya kuomba msaada wakati umeshafanya conclusion kwamba umelogwa? Why are you here then!
Wajinga nio waliwao bro. Asipobadilika ataendelea kugawa fedha kwa vigagula mpaka akome.
Anaogopa nn kuwasiliana na wewe na kisha kutuma sample ili achekiwe.
Ukiona jitu bishi kama hili, ujue halijitambui.
 
Acha ushirikina weee. Nenda shule ukasome
Ndugu hujui mateso huyo ndugu anatatizo La sononi ndilo kwanza linalomsumbua..unadhani ni nini kitakacho kaa kichwani hata akienda shule gani..ushauri wangu kwake aende kwa matabibu wa akili na ufahamu (saikolojia) na baada ya kutoka huko ugonjwa wake utaonekana tu akienda katika hospital yoyote yenyevipimo vya uhakika
 
Wewe mwenyeji wa wapi unaamini ushirikina hadi leo? Humjui Mungu? aibu sana sana! nahisi utakuwa mtu wa mikoa hii:
Tbr
Mza
simiyu
Katavi
shy
Rukwa au
pwani
 
Ndugu zangu,

Mimi ni kijana wa pekee na wa mwisho katika familia yetu yenye jumla ya watoto sita. Ni familia ya kimaskini ila watoto tunafanya kila linalowezekana kuhakikisha tunapunguza ukali wa maisha hapa nyumbani kwa kufanya kazi bila kuchoka usiku na mchana ila changamoto kubwa imekuwa husuda na kijicho kwa majirani zetu ambao wanahaha kushika shati familia hii kwa ushirikina lakini mbali na hayo yote (we never give up united we stand and moves foward regardless our acceleration toward our goals).

Binafsi mimi ndio muhanga na muathirika mkubwa kwa hili gumu kwani kwa zaidi ya miaka 19 hadi sasa ndugu zangu sijawahi kuwa na furaha maishani mwangu, (trust me its all about misery, sickness, lack of affection, unlucky) na mambo mengi mabaya kwa binadamu.

(There comes a times it feels like the world is upon my shoulder can't take this shiit no more) nimejaribu kuwa mwema, muungwana na mnyenyekevu kwao bila mafanikio sitaki kuchuma dhambi tena kwa mateso niliyopata katika dunia hii imetosha Mungu ni mwema atanipumzisha milele kiumbe wake (ain't fear death because its inevitable am ghood to go for it for their happiness and fantasy).

Nilikuwa na (plan) ya kutafuta (anyone with the solution) kwa maana ya (traditional healer) au yeyote mwenye productive ideas aweze nisaidia NITOE AWARDS ya tshs milioni moja but naona kama (its a waste of time) watu nao wamekuwa matapeli tu (nowdays).

Yaani (we living in crazy time folks) nimetibiwa na wataaalamu wa tiba asilia, hospitali za rufaa na kuombewa na wachungaji lakini hooa hell no! Mungu ananitaka mwanae si bure na (he is the master of the people so far so am good} to go though ukioniona( live) huwezi hata kuhisi kama mimi ni mgonjwa huwezi.

Nimetoa dukuduku langu nahisi kama (relief) fulani nimepata.

Kila la kheri wandugu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom