Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4) - JamiiForumsMPUMBAVU WEWE... ACHANA KABISA NA MAWAZO YA USHIRIKINA.. TATIZO UNALO WEWE MWENYEWE KWA KUTAFUTA MSAADA KWA WASHIRIKINA NA KUMHUSISHA MUNGU. CHAGUA UPANDE MMOJA. NAKUSHAURI UMCHAGUE MUNGU WA MBINGUNI MUUMBA WAKO.. YEYE ANAWEZA KUKUPONYA MUDA HUU. ACHA KABISA KUSHIRIKI UPUMBAVU WA WAGANGA. HAKUNA MWANADAMU MWENYE UWEZO WA KUKUSAIDIA.
Ni marehemu kwasasa mtoa uziNjoo dm ntakusaidia mkuu lakini Uelewe kabla ujaja me ni Muislam na nataka kukusaidia kiislam over.
Ni marehemu kwasasa mtoa madaMkuu ulichobugui kuchanganya kizungu na kiswahili maana ake lugha yako ya kiswahili huikibali sio?
Punguza munkari, kwasasa mkuu folk ametangulia mbele za hakiMPUMBAVU WEWE... ACHANA KABISA NA MAWAZO YA USHIRIKINA.. TATIZO UNALO WEWE MWENYEWE KWA KUTAFUTA MSAADA KWA WASHIRIKINA NA KUMHUSISHA MUNGU. CHAGUA UPANDE MMOJA. NAKUSHAURI UMCHAGUE MUNGU WA MBINGUNI MUUMBA WAKO.. YEYE ANAWEZA KUKUPONYA MUDA HUU. ACHA KABISA KUSHIRIKI UPUMBAVU WA WAGANGA. HAKUNA MWANADAMU MWENYE UWEZO WA KUKUSAIDIA.
Kwasasa hatupo naye, japo watu walimkejeri sana, R.I.P folkHuyu jamaa ndo yule alokua anasumbuliwa na kansa ya kongosho msimpuuze kuna nyuzi wake wa kutu uzunisha ali itoa kueleza uko wake wa maisha alo ambiwa na Dr.
Mungu ameruhusu apumzike na maumivu ya kansa,Mungu atakuponya mkuu
Habari uyo jamaa aliyetangulia mbele za haki unamjua?Mungu ameruhusu apumzike na maumivu ya kansa,
Japo alikejeliwa sana, tujifunze kuwasaidia watu, kwa kuvaa uhusika wao na kuwapa matumain
Hizi comments zako zaonyesha we ni mtu wa type gani.....Shame!MPUMBAVU WEWE... ACHANA KABISA NA MAWAZO YA USHIRIKINA.. TATIZO UNALO WEWE MWENYEWE KWA KUTAFUTA MSAADA KWA WASHIRIKINA NA KUMHUSISHA MUNGU. CHAGUA UPANDE MMOJA. NAKUSHAURI UMCHAGUE MUNGU WA MBINGUNI MUUMBA WAKO.. YEYE ANAWEZA KUKUPONYA MUDA HUU. ACHA KABISA KUSHIRIKI UPUMBAVU WA WAGANGA. HAKUNA MWANADAMU MWENYE UWEZO WA KUKUSAIDIA.
Mungu atakuponya mkuu
Simfahamu, ila habar zake zimethibitishwa na ushimenHabari uyo jamaa aliyetangulia mbele za haki unamjua?
Alikutumia jina? Inasemekana marehemu alikuwa anaitwa Patrick na alishafariki je ni kweli?Pole. Leo naenda kwenye maombi mahali fulani. Nitumie jina lako kwenye pm ili niende nalo pale. Mungu wetu ni mwema naamini utakuwa mzima tena. Na hiyo hela yako utamtolea Mungu sadaka ya shukrani.
Daah! bro hongera sana hakika ulikua na nia ya dhati kabisa ya kumsaidia huyu ndugu yetu sema sijui kwanini alikua anasita kuwasiliana na wewe.Kaka heshima kwako! Ila kama hujaumwa hilo tatizo la huyo kijana, mm nilikuwa nalo na nikaambiwa nina matatizo ya akili. The thing about mold & mycotoxins yana damage kiasi kikubwa ubongo wako kiasi kwamba unakuwa emotion sana na ni kweli unaweza kuwa na attention seeking disorder au kujiona victim wa mambo mengi.
Nikishawahi kumshauri huyu dogo 2013! Kwasababu niliugua kama yeye, lakini hakuwa kunisikiliza possibly amepata cancer ya ini! Kwasababu ukiwa na hilo tatizo lazima ufanye body detox baada ya kutibiwa, tangu kipindi hicho mpaka leo siwezi kujua ametumia madawa gani plus accumulation ya hizo toxins za tatizo la mwanzo huenda zimepelekea kuwa na hiyo cancer.
Kuna maradhi duniani mengine ukiambiwa yapo huwezi kuamini unless uwe umekutana nayo kama mm na hii sio hadithi ni kweli.
anaitwa Mama Apasia kutoka stand yq uchira hadi alipo unaweza kutembea au umpe bodaboda 1000 dawa yake ni 50 utakunywa mara 3 anasaidia wengiJaribu kuulizia Moshi sehemu za Uchira kuna mtu anatoa tiba asili za Cancer; personally namfahamu mama mmoja alikuwa na cancer ya ziwa aliweza kuishi kwa zaidi ya miaka 30 akitumia hizo dawa za Uchira mpaka Mungu alipomchukua mwaka Juzi ikichangiwa na uzee
Wagonjwa wa kansa wengi wanapenda kupuuzia ila kansa ni hatari saaana.Daah! bro hongera sana hakika ulikua na nia ya dhati kabisa ya kumsaidia huyu ndugu yetu sema sijui kwanini alikua anasita kuwasiliana na wewe.
Utalipwa kwa nia yako njema na je ulishaenda kwenye Tv kuongelea juu ya hao Mold??
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
Acha ushirikina weee. Nenda shule ukasome
Mwenye hii post naimani atatamani kumtafuta jamaa amuombe ata msamahaAcha ushirikina weee. Nenda shule ukasome