Atakaenisaidia hili nitampa Tsh Milioni moja taslimu

Status
Not open for further replies.
Dah ukisema unashida kuna wenye shisa zaidi yako! pole sana ila tutajaribu kukuulizia kwa shisa yako ila kikubwa PM
 
Leta mrejesho basi ndugu! Umefikia wapi? Maana kama bado nataka nifanye mambo yangu ya hatari nipate hiyo pesa.
 
Your problem is yourself. If you believe in that kwamba unarogwa you are totally wrong. Hebu kuwa mbunifu, kuwa busy na kazi zako na acha kujifikiria vibaya vibaya. You live only once, take the chance to live life yako, jumuika na watu wenye mtazamo tofauti, watu wenye haiba zao, penda kusocialize na watu wengine sehemu mbalimbali. Muamini Mungu wako sana. Hakuna kitu mgaga akuondolee matatizo bali atakupa hostility perceptions coz utajiona you are superior. Afu stop believing you are superior, coz hii nayo inakusumbua. Jishushe and live life!!!!!!!!!!!!!
 
ndugu yangu hujaeleza tatizo...vingereza vingi lakini hujaeleza hasaa unashida gani.
Kama unaeleza kitu vizuri unaweza kupatiwa msaada pengine bure kabisa bila kutoa hiyo milioni moja unayoinadi.
 
huo ni mwisho wa imani yako achana na ujinga hata mchawi huomba mungu ndio maana wantembea usiku nawe fata aliyokuamrisha mola wako atakupa njia ya kuepukana na hayo. kuwa bsy na kazi zako
 
Umewahi kuishi nje ya Tanzania? Jaribu kubadili mazingira aisee, sometimes ni psychological problems ndio zinakusumbua. Pia mcheki Mzizi mkavu anaeza kukupa ushauri[/

Kaka hilo nalo laweza kuwa na ukweli ndani yake ila nasita kukubali moja kwa moja kwamba suala hili liko kwenye traumatic experiences and psychological aspects hapana sidhani kaka...I can feel something stranger within my body...enhee!!

POLE SANA NDUGU YANGU, KUOMBEWA NI SAWA, LAKINI WAOMBAJI HAWAWEZI KUWAPO NA WEWE KILA MAHALI NA KILA WAKATI, HIVYO ILI UWE SALAMA WAKATI WOTE, SIKIA NENO HILI,NAKUHAKIKISHIA TATIZO LAKO LITAKUWA LIMEGOTA MWISHO. TUBU DHAMBI ZAKO UOKOLEWE, ZALIWA MARA YA PILI = HAKUNA UCHAWI WALA UGANGA KWA WALOKOLE ( SIO WALE WA KUIGIZA) NJOO KANISA LA FULL GOSPEL BIBLE FELLOWSHIP - MWENGE -KWA ASKOFU KAKOBE -TATIZO LAKO LITAKUWA HISTORIA . NI PM TAFADHALI.
 
ndugu yangu hujaeleza tatizo...vingereza vingi lakini hujaeleza hasaa unashida gani.
Kama unaeleza kitu vizuri unaweza kupatiwa msaada pengine bure kabisa bila kutoa hiyo milioni moja unayoinadi.

mkuu ameeleza vitu vingi sana ni wewe ambae hujavisoma pitia tena baada ya thread utaona kaeleza vingi sana!mi napenda kujua tu amefikia wapi,alishauriwa na mkuu sokwe kuhusu kucheki mold na wengine wengi tu!
 
NJOONI KWANGU ENYI NYOTE MSUMBUKAO NA WENYE KUELEMEWA NA MIZIGO NAMI NITAWAPUMZISHA asema Bwana Yesu,
JE KUNA NENO GANI LA KUMSHINDA BWANA.asema Bwana Yesu.
MIMI NDIMI NJIA YA KWELI NA UZIMA,MTU HAWEZI KWENDA KWA BABA ILA KWA NJIA YA MIMI asema Bwana Yesu.
Yesu ndiye jibu la tatizo lako! Ubarikiwe!
 
Usipoteze hata senti moja kwa waganga wa kienyeji, watakula pesa yako na tatizo lako litabaki kama lilivyo, maana watakuwa wanatibu tatizo ambalo halipo, tatizo lako ni la kisaikolojia na si kurogwa, una msongo wa mawazo (wa muda mrefu) hadi imepelekea kuanza kuonesha dalili za 'depression'. Kurogwa ni dhana ya kufikirika, ni mtazamo tu kwamba umerogwa, umeijaza akili yako kwamba umerogwa na akili imejenga imani na imeweka mizizi kuwa umerogwa, ukiibadilisha imani yako na kujenga imani kwamba hujarogwa, hicho ndicho kitakuwa chanzo ya tiba yako. Mchawi nambari moja wa tatizo lako ni wewe mwenyewe, ni fikra zako na mtazamo wako.

Yawezekana unakabiliana na changamoto mbalimbali za maisha mfano za kifedha, kifamilia, kimahusiano, n,k na labda unaona changamoto hizi haziishi, ni kweli ila unachotakiwa kufanya; a) kufikiria namna ya kubadilisha namna unavyozikabili changamoto hizo na b) kubali kwamba kuwa na changamoto ni sehemu ya maisha, hivyo kubali matokeo na endelea na maisha.
 
Pole sana folk nimeona uzi wako ukisema umebakiza miezi minnetu uiage dunia hii ya mola

Nimegundua kumbe kuna mlolongo mreeeefu na maumivu yamekua sehemu ya maisha yako kwa muda sasa

Kwahali hiyo na maelezo haya ninasema UTAPONA NA ITAKUJA KUSIMULIA MAMBO MAKUU YA MUNGU

NB;Mshana ulikua wapi hujamsaidia mwenzetu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom