Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
I mean Ridhiwani. Maana anaweza akaukwaa Unaibu Waziri fulani hivi... I know you think I'm crazy..
I mean Ridhiwani. Maana anaweza akaukwaa Unaibu Waziri fulani hivi... I know you think I'm crazy..
I mean Ridhiwani. Maana anaweza akaukwaa Unaibu Waziri fulani hivi... I know you think I'm crazy..
Japo JK is not genius, he is not this cracy to do such a thing!. Anaweza kuwateuwa watoto wa rafiki zake kama alivyofanya kwa yule kijana, lakini hawezi kumteua mwanaye mwenyewe.Anaweza asigombee, akawa mbunge mteuliwa kwani raisi anayo nafasi ya kuteuwa wabunge kumi.
Jamani JK is not that crazy!.Anaweza asigombee, akawa mbunge mteuliwa kwani raisi anayo nafasi ya kuteuwa wabunge kumi.
Japo JK is not genius, he is not this cracy to do such a thing!. Anaweza kuwateuwa watoto wa rafiki zake kama alivyofanya kwa yule kijana, lakini hawezi kumteua mwanaye mwenyewe.
Ila kija, ana uhuru wa kugombea na kuchaguliwa kama walivyo Watanzania wengine, ila JK hawezi kumteau katika wadhifa wowote, not while on power, bali anachoweza kufanya JK ni kumkabidhi kwa Membe ili kwenye awamu ijayo ndipo aukwae na kuendelea kupanda juu, ndivyo alivyofanya Mwinyi, baada ya kuondoka, kijana akaingia, na ndivyo atakavyofanya Karume, Ali atapewa uwaziri fulani, na ndivyo atakavyofanya JK, kumkabidhi kwenye mikono salama.
Anaweza asigombee, akawa mbunge mteuliwa kwani raisi anayo nafasi ya kuteuwa wabunge kumi.
I mean Ridhiwani. Maana anaweza akaukwaa Unaibu Waziri fulani hivi... I know you think I'm crazy..
I mean Ridhiwani. Maana anaweza akaukwaa Unaibu Waziri fulani hivi... I know you think I'm crazy..
.Si LAANA KUBWA WALIO NAYO VIONGOZI WENGI NI HII YA KUWARIDHISHA WATOTO WAO UONGOZI HATA KAMA HAWNA UWEZO WA KUONGOZA, na mbaya zaidi wanawaridhisha na tabia za wizi/ufisadi na mambo mengine ambayo kwa mzazi mwenye hekima hasingemridhisha mtoto wake.