Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Notedhuwa napata shida kati ya habari picha na kitu kinachoitwa udhalilishaji...! Nadhani kwenye hili tuna mitazamo tofauti
Usukumani hukoHii kusini au?
SidhaniUsukumani huko
Je yule mbunge aliekuwa anatetea hoja huku akinyonyesha?? Nao pia ni udhalilishaji??Mshana hiyo photo si unge i blur tu! huoni kuwa ni udhalilishaji.
haina mabega unapigwa chini unavimba juu gud morning KasieUmenikumbusha dada mmoja alikuwa anatusimulia jinsi mama yake alivokuwa akamwambia. ... wakati huo tulikuwa sekondari form 3. Utakuta labda huyo rafiki yangu kufanya kosa sasa mama yake anamgombeza.... utasikia..."mkubwa wewe hivi unafikiri us ingekuwa shule saa hizi na uko kijijini ungekuwa ushaolewa na una watoto 3 sasa sikuelewi kwanini ufanye mambo ya kipuuzi na ya kitoto. Shakur Mungu umezaliwa mjini na sukuma Mungu uko shule.... Acha utoto na ujinga. .."
Huyo rafiki yangu anasema alikuwa anachukia kila mara mama yake akimgombeza kwa maneno hayo, ila anasema yalimsaidia maana hakukubali kuzalishwa hadi alipoolewa.
So sad to the girl, saa nyingine waschana kama hawa sio umasikini bali ni kutokujua matokeo ya atachokifanya (being ignorant) yaani hajui ukiwa chini unavimba juu pia hajui kuwa ile kitu haina mabega maana aliyemdanganya anamwambia ....... wala haiumi ngoja kidogo mii siingizi yote hii... naingiza kichwa tuu... nyoo kooo ukiruhusu tuu jamaa anazamisha yooteee.
Feeling sorry for her though.
Sio vishawishi tu ni umasikini uliopitiliza na wao wana ndoto za alinacha mchanyato unaotokea hapo ndo hayo wameuanza mpira kati adui anaupata mita 40 anapiga shuti goli wanakuja kuuanza tena kati.Shida na vishawishi vimewaponza wengi
yuko vizuri huyu mke jamani, I love her ghafla ghafla!
Usukumani hii kitu sidhani kama bado ipo tena, ilikuwepo mwishoni mwa miaka ya 90.Usukumani huko