At Last Daud Mwangosi is Laid to Rest

RIP David poleni wafiwa mungu awape moyo wa subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu !
 
Chama chenye serikali katili hii ni sawa na mzee aliyemaliza siku za kuishi hivyo anafight against the appointed death. Lakini kadri anavyojitahidi kupambana na kuwa hai ndivyo anatengeneza mazingira ya kufa.Moto hauzimwi kwa petroli.This time walitaka kuruka moto wakati wanajua wamebeba pipa la petroli linalovuja.Mlipuko wake siyo mdogo!Poleni wafiwa, the innocent shed blood will never cease crying until justice is done.Almighty God the creator of the universe and everything in it is the GOD of JUSTICE, HE is watching!Ooooh Mighty God please intervene against the evil done to the helpless by these diabolical rulers!
 
Hii picha inatia simanzi sana, jamani sijui nisemeje, kweli naichukia serekali

Samahani mkuu hebu tazama na hii baada ya kuwa wameshafanya mauaji yao

Mwili%2Bwa%2B%2BDaudi%2BMwangosi%2Bukiwa%2Bumechanika%2B%2Bvibaya.JPG
Hapo unapoona wekundu ndio mwili wa marehemu....
 
Mh Mungu amlaze mahala pema peponi na amsamehe dhambi zake kwa kuwa alikuwa anatupigania wanyonge!
Ameni!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom