Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

Tukubaliane kimsingi hii gia ya kumtumia Balali itawaletea shida sana akina Lowasa kabla na baada ya uchaguzi kama zilivyoanza kuwatokea puani sera za babu seya na magaidi wa zanzibar
 
Huyu fisadi atatiwa kitanzi tu ngoja mahakama ya mafisadi ianzishwe.
 
Nadhani kuna kitu wanamaanisha.mimi na wewe hatukijui.Lowassa na washirika wake wana akili na wapo kwenye huu mchezo kwa maana SIASA muda mrefu...tufanye subira tuone nini kinaendelea.Ukivunja kiapo cha serikali lazima segerea halafu kesi baadae.
 
Tukubaliane kimsingi hii gia ya kumtumia Balali itawaletea shida sana akina Lowasa kabla na baada ya uchaguzi kama zilivyoanza kuwatokea puani sera za babu seya na magaidi wa zanzibar

Kosa lake ni kusoma mabango yaliyoandikwa na wananchi?
 
Vioja vinaendelea,

Katika kipindi cha kutoka magezitini cha RFA, Imesomwa toka gazeti la UHURU kuwa Mbunge huyu Mstaafu anajiandaa kwenda mahakamani kumshtaki Lowassa ili aeleze BALALI alipo!!

Alistaafu lini, alishindwa kura ya maoni huyu. Baada ya kutumika kwenye katiba, sasa CCM inamtumia huyu mama kwenye kampeni. Anamtaka Balali anaishi kwa Lowassa? Kama ni pesa ya EPA, wezi wake wanajulikana, ni CCM. Halafu kesho keshokutwa mtasikia ameteuliwa DC.
 
Huyu Mama hapo tuu bado ajatekenywa anahangaika hivi,je akitekenywa itakuwaje?
 
Vioja vinaendelea,

Katika kipindi cha kutoka magezitini cha RFA, Imesomwa toka gazeti la UHURU kuwa Mbunge huyu Mstaafu anajiandaa kwenda mahakamani kumshtaki Lowassa ili aeleze BALALI alipo!!

Kweli watz elimu yetu ni ndogo, mpaka tunakubali kuongozwa na wabunge wa namna hii, basi jua kabisa it will take years Tanzania kuendelea, kwa nn asimshitaki Rais aliyaleahidi Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania na leo hii imekuwa Maisha Magumu kwa kila Mtanzania...!
 
Huyu fisadi atatiwa kitanzi tu ngoja mahakama ya mafisadi ianzishwe.
Litakapoanza hilo zoezi la kuwatia vitanzi mafisadi basi wa kwanza atakayening'inia kwenye hiko kitanzi awe Mkulu.

Kwa kuwa tayari Edo alishajieleza kuwa mpango mzima wa Richimondo ni wa Mkulu mwenyewe na tokea Edo aanike hadharani ukweli huo mchungu, hatujawahi kumwona Mkulu akijitokeza hadharani na kuzikanusha tuhuma hizo.
 
Huyu alishidwa ubunge kura za maoni ndio amshitaki the dom?
 
Vioja vinaendelea,

Katika kipindi cha kutoka magezitini cha RFA, Imesomwa toka gazeti la UHURU kuwa Mbunge huyu Mstaafu anajiandaa kwenda mahakamani kumshtaki Lowassa ili aeleze BALALI alipo!!

Hajatambua kwamba ukuu wa wilaya mwisho 25/10/2015!!!!
 
Back
Top Bottom