Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

Na mwisho wake gazeti hilo Oct 25, maana serkali ya Ukawa haitaruhusu magazetiu ya kiitikadi yanunuliwe ofisini.Gazeti hili limesurvive kwa kuwa ilikuwa lazima kila ofisi ya serkali ilinunue gazeti hili.
 
Gazeti LA Ccm wanalo lao wananchi tuwe makini na awa watu Hapa ni lowassa tu sio magufuli ni wale wale mabadiliko lazima October
 
Huyu mama anaweweseka mchana baada kukosa nafasi kugombea ubunge! Escrow wamegawana yeye akiishia kutetea ule wizi, Leo imemkosesha ubunge! Lazima alie na JK! Njaa weee akumbukwe kwenye DC
Makufuli amewahakikishia wa-ccm wote waliobwagwa kwenye kura za maoni kuwa atawapa kazi na kwamba kazi zipo nyingi tu ikulu na kwingineko. Hicho ndio watu kama Asumpta wanapigania na usishangae kusikia aina ya kauli hii zikitoka kama bomba la maji lililopasuka. Wanatafuta mkate wa watoto.
 
Kwanini watu wanang'ang'ana kumzuia lowasa asiwe rais ikiwa MUNGU AMESHAMKUBALIII? AU hawajui kuwa haya ni majira ya LOWASA kuwa rais? Hata kama wangesema LOWASA ni mbaya kiasi gani. MUNGU ameshamchagua hakuna wa kuweza kupinga.
 
Back
Top Bottom