Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,317
Unaweza kuomba namba za simu, after honeymoon ukaanza kudeal na mmoja baada ya mwingine
halaf wadada wanavyojuaga kujikwatua siku ya harus sijui wanatakaga kuwafukina ma bi harusi 😁😁😁Nakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! 😂 😂
K ni ile ile ila zinatofautiana ladha...aliskika bodaboda mmoja kijiweniK ni ile ile, alisikika mlevi mmoja huku akiongeza mbege kwenye chibuku
Mnakuwaga na ujinga siku ya harusi mnataka mumfunike mpaka bi harusi. Mikogo mingiNakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!!
K ni ile ile ila zinatofautiana ladha...aliskika bodaboda mmoja kijiweni
Hapo kwa kweli pagumu.Unaweza kuomba namba za simu, after honeymoon ukaanza kudeal na mmoja baada ya mwingineView attachment 1269142
Aaah wapi....zinatofautiana saana.K ni ile ile, alisikika mlevi mmoja huku akiongeza mbege kwenye chibuku
Hahahaaa hii ni tamaa ya hali ya juu... Maskin bi harusi, hope hakuliona hilo maana ugomvi utaanza hapoNakumbuka tulikuwa kwenye kharusi moja ya ndugu yetu, nilikuwa na mabinti wengine pamoja na mdogo wangu mmoja mtoto wa mamkubwa, yule binti ni mrembo hasa alishawahi shiriki mashindano ya urembo pia.!!
Bwana kharusi akili yote ikamtoka akawa anamshangaa yule binti mpaka anapoteza concentration, unamuona kabisa huyu anajizuia lakini anashindwa, na upande tumekaa ni rahisi kuonana, wakati wa kula ndo kabisa hamtazami mkewe aliyevaa shela hapo pembeni, ni vimacho havitulii.!! aiseeh' ilibidi tufanye utaratibu tu tuondoke maana mambo yalikuwa tayari magumu,
Wanaume, walaqhi mtavunja ndoa zenu siku ya kharusi..!! 😂 😂
Amen.Kama unaongozwa na tamaa za Mwili, hata ukipewa na hao wote, Lazima kesho tena utataman mwengine barabaran
Hahaha.!!halaf wadada wanavyojuaga kujikwatua siku ya harus sijui wanatakaga kuwafukina ma bi harusi 😁😁😁
Hahahaa.!Mnakuwaga na ujinga siku ya harusi mnataka mumfunike mpaka bi harusi. Mikigo mingi😀😀
Hahahaa..!Hahahaaa hii ni tamaa ya hali ya juu... Maskin bi harusi, hope hakuliona hilo maana ugomvi utaanza hapo
K ni ile ile ila zinatofautiana kwenye unenenene,zile nene kile kijamaa kiwe juu juu,zinahamasisha zaidi kila mara kuliko zile zenye kile kijamaa kiwe ndani hakionekani,alisikika mvuta bangi mmoja mitaa ya sinza kijiweniK ni ile ile ila zinatofautiana ladha...aliskika bodaboda mmoja kijiweni