Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,712
- 3,224
Nawasalimu Kwa salamu zote halali, niende direct!
Hiviii, unajisikiaje unatafuta pesa Kwa shida, unahifadhi taasisi za kifedha au baada ya kazi ngumu posho inapitia moja ya taasisi ya kifedha.
Inatokea siku unaenda kufuatilia baadhi ya huduma kuhusu AC yako, unakutana na customer care chafu, inakujibu as if mtuhumiwa upo central.
Unahisi labda ni tawi moja lenye huduma mbaya unaenda mkoa mwingine unakutana na aina Ile Ile ya wahudumu.
Hivi hii inanikuta mimi pekee?
Hiviii, unajisikiaje unatafuta pesa Kwa shida, unahifadhi taasisi za kifedha au baada ya kazi ngumu posho inapitia moja ya taasisi ya kifedha.
Inatokea siku unaenda kufuatilia baadhi ya huduma kuhusu AC yako, unakutana na customer care chafu, inakujibu as if mtuhumiwa upo central.
Unahisi labda ni tawi moja lenye huduma mbaya unaenda mkoa mwingine unakutana na aina Ile Ile ya wahudumu.
Hivi hii inanikuta mimi pekee?