Habari wana JF,kwa wale ndugu zangu mnaokumbuka drama la sakata la Aptitude test tulifanya pale Uhasibu kwa Post ya Assistant Auditor,Napenda kuwahakikishia na kuwapa habari za kweli,NBAA walicheza mchezo mchafu sanaa,kuna vijana ambao nawajua na najua wazazi wao,Wazazi ni vigogo wakubwa tu ambao kipindi cha Nyuma walikuwa kwenye Mgt ya NBAA sasa hivi wana Audit Firm zao,wamewaingiza watoto wao TNP,na sasa ndio wako kazini,wameanza kupewa Mashati meupe yenye nembo ya Tanapa.
Kwa kweli aliyepewa ataongezewa,Bila shaka hata kesho saa kumi Jina lako Pale NBAA kwa Post ya Assistant Accountant hutaliona.
Tutazidi kuwa maskini endapo tutaendelea kusubiri hizi Ajira za kupeana,Ndugu zangu tujiajiri,sina Imani na Ajira za serikali hapa TZ
Kwa kweli aliyepewa ataongezewa,Bila shaka hata kesho saa kumi Jina lako Pale NBAA kwa Post ya Assistant Accountant hutaliona.
Tutazidi kuwa maskini endapo tutaendelea kusubiri hizi Ajira za kupeana,Ndugu zangu tujiajiri,sina Imani na Ajira za serikali hapa TZ