Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,321
hamna ...najikanda maji moto tu![]()
Poa, pia acha kukaa ndani sana.
hamna ...najikanda maji moto tu![]()
Ulisomaje mkuuduh nimeshtuka,nlisoma jina la wimbo vibaya
Yuko vizuri mkuuHuyu dogo namkubali sana
Yes mkuu, ma team tunaweka pembeni tunaskizia mziki mzuriThis is what we call good music
Nahisi ndio hii ila nina mashaka hii kitu ni JumongHii ndio shape anayoizungumzia?View attachment 601741
Aisee sijui itakua lini mkuuMsanii bora wa mwaka -Aslay
Nyimbo bora ya mwaka-Angekuwepo
Mtunzi bora-Aslay
Hivi alafu Tuzo za EATV lini
Yaan hajawahi niangushaUyu mtoto uyu daaa fundi hadi anakera
Neno zito hilo...linaamsha mizucsnat.omba hehe
Kazitoena kweli nina genye debe hapa du.
Nafkiri hata yeye kaitendea haki tu mkuuHii Beat kali sana ilitakiwa mtu mwenye sauti ya kuvuta in high pitch kama Saida Karoli.
Anajua munoooHuyu dogo ndo mfalme wa bongo fleva
Ukiona hivyo bas ujue ana stock ya ngoma za kutoshaAnatoa nyimbo nyingi sana kwa muda mfupi...atasanda muda si mrefu maana mada katika nyimbo zitakuwa zinajirudia