Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
- Thread starter
- #61
jamaani!sina hakika,lakini hilo linaweza kuwa tatizo
jamaani!sina hakika,lakini hilo linaweza kuwa tatizo
God ForbidAtakuwa teja soon
Nimetoa Ushauri kwenye hili jukwaa Mara nyingi na bado nitaendelea..
Bongo fleva lazima wakubali kubadilika..
Hizi sifa wanazotafuta Zinawazidi Uwezo..
Hii ni aibu kwa huyu Dogo..
Wajijengee Uwezo wa ku perform Kwa (Raia)Waingereza Siyo Watanzania wanaoishi Uingereza..
Pamoja Money Pennyhi
hilo nalo neno, shukran boss!
jamaan Bongo Fleva inaingizia watuMkate wa kila siku jamaa!
Ni kweli ila kwa hapa Bongo tu, watanzania wengi waishio nje hawana mpango na bongo fleva hili nimethibitisha mwenyewe. Wengi wanaiponda bongo fleva kwa kusema imejawa na wababishaji na si wanamuziki wa kweli.
Woi
Ndio mana sijajiunga Diaspora
Kazi kuoneana wivu tu
doh
UJINGA MTUPUTambua kuwa ukweli si wivu.
Hata London hawana hela?Watu hawana hela sasa hivi wenye ma bar viti vitupu sembuse yeye pole yake
nashangaa!Hata London hawana hela?
Nalifanyia utafiti nitakuja na jibu Money Pennyme bado nauliza LONDON imeficha nini mbona wasanii wengi wanadondoka huku?
Haya boss nashukuruNalifanyia utafiti nitakuja na jibu Money Penny
Kweli kabisakwa mtazamo wangu,kwa sababu alishakuwa na jina (brand) atumie nafasi hiyo kuitangaza kwenye vyombo vya habari mtandao/magazeti atafute General Manager au meneja masoko natumaini atapata wahitimu ni wengi;na aeleze majukumu ya kila mmoja ambayo yatamuwezesha msanii kuendelea kuingiza kipato; anaweza akawa anawalipa M1.5 kwa kuanzia huku ikiongezeka kutokana na shoo zinazopatikana
Bila hivyo watafikia pointi ya kukata tamaa kama wengine waliopita;lakini kama watapata ushauri wa namna hii na wakaufanyia kazi watabiga hatua.Kweli kabisa
UJINGA MTUPU
HAUTAKI KUSAPOTI VYA KWENU UNADHANI NANI ANAVISAPOTI VYA DIASPORA SASA?
WATZ WENGI WAMETOKA HUKO KAMA HUJUI,,, WANAFANYA MAKOROKOCHO YA KIJINGA MTUPU HASA WA USA
KWELIBila hivyo watafikia pointi ya kukata tamaa kama wengine waliopita;lakini kama watapata ushauri wa namna hii na wakaufanyia kazi watabiga hatua.
SAWA KAKA nenda kule DOLE Zanzibar... ukafundishwe taarabuToka lini bongo fleva ukwa muziki wa Tanzania? Kuiga Nigerians ndiyo muziki wetu, Wacheni ujinga wa kuiga iga na kujitoa ufahamu, si bora hata nisikilize singeli au hata taarab?