Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Aslay jamani, show yake haikujaa tatizo ni nini sasa ni promo au? mbona ray c hakuja ku-perform?
jamaan vbaya ivyo!hahahaha pole yake nyota yake ishafifia sa hivi maromboso amawapeleka puta raia tumeanza kumwelewa
yes bishoo haswaaaa
Kweli usipokuwa na akili mwili ndio unaumia yaani wamemuacha yatimaDogo walimtumia na sasa wamemuacha ajibebe mwenyewe,hapo ndo atapoona mjini mashamba ni watu.wanakupiga hela na masifa kibao,wanasepa wanakuacha mtupu
Dah wabongo ni chinjachinja mbayaaDogo walimtumia na sasa wamemuacha ajibebe mwenyewe,hapo ndo atapoona mjini mashamba ni watu.wanakupiga hela na masifa kibao,wanasepa wanakuacha mtupu
Mbayaa sanaaaKweli usipokuwa na akili mwili ndio unaumia yaani wamemuacha yatima
Aisee
Hahahaha
Labda BongoWatu hawana hela sasa hivi wenye ma bar viti vitupu sembuse yeye pole yake
Jamaan mbona Ben Paul kaimba fresh tuMasharti magumu