Askofu Thomas Laizer: "Uchaguzi wa Meya Arusha Urudiwe"

hata Kandahar kuna chuo kikuu

Kwa taarifa yako Ng'wanangwa mie niko makini kuliko unavyofikiri nakupa picha nina GPA ya nguvu kwenye first degree (honours), Nina distinction katika degree zilizobakia. Nimesoma vyuo hivyo mnavyoviita makini msitake kutudharau waislamu bure tunawaburuza darasani halafu mnaleta kelele zenu za nini!!!
 
Yaani wewe Mdondoaji umehama kwenye hoja kabisa mbona unaleta udini badala ya hoja.??? Udini unatusaidia nini hapa wakati tunapigika?? Kaa ufikiri na si kuleta hoja za kijinga.

Ole wake aletaye udini...Amina
Ole wake ateteaye udini..Amina
Ole wake anayedhani kuwa dini yake nisahihi kuliko ya mwingine...Amina
Ole wake afarakishanaye watu kwa udini...Amina
Ole wake anayedhani udini utamuacha salama...Amina
Ole wake anayevuruga nchi kwa udini..Amina
Ole wake asiyeyafanyia kazi haya maneno yangu ....Amina
 
Kwa taarifa yako Ng'wanangwa mie niko makini kuliko unavyofikiri nakupa picha nina GPA ya nguvu kwenye first degree (honours), Nina distinction katika degree zilizobakia. Nimesoma vyuo hivyo mnavyoviita makini msitake kutudharau waislamu bure tunawaburuza darasani halafu mnaleta kelele zenu za nini!!!

unamjua Ayman Al Zawahiri .... second in command of Al Qaeda kwa taarifa yako ni msomi.... ni doctor ...a Surgeon and pedeatrician.... lakini kazi yake ni ku brain wash vijana wa kiarabu wakajitoe muhanga .... na wewe usomi wako ni sawa na huyu.... full stop
 
Yaani wewe Mdondoaji umehama kwenye hoja kabisa mbona unaleta udini badala ya hoja.??? Udini unatusaidia nini hapa wakati tunapigika?? Kaa ufikiri na si kuleta hoja za kijinga.

Ole wake aletaye udini...Amina
Ole wake ateteaye udini..Amina
Ole wake anayedhani kuwa dini yake nisahihi kuliko ya mwingine...Amina
Ole wake afarakishanaye watu kwa udini...Amina
Ole wake anayedhani udini utamuacha salama...Amina
Ole wake anayevuruga nchi kwa udini..Amina
Ole wake asiyeyafanyia kazi haya maneno yangu ....Amina

Mageuzi maneno haya ungelianza kuwaambia maaskofu na baadhi ya watu humu JF wenye kudharau waislamu ningelikuelewa- Amina
 
unamjua Ayman Al Zawahiri .... second in command of Al Qaeda kwa taarifa yako ni msomi.... ni doctor ...a Surgeon and pedeatrician.... lakini kazi yake ni ku brain wash vijana wa kiarabu wakajitoe muhanga .... na wewe usomi wako ni sawa na huyu.... full stop

Crap kuna kusoma ukaelimika na usielimike sidhani kama mie ni moja wao sorry I beg to differ ndugu.
 
Crap kuna kusoma ukaelimika na usielimike sidhani kama mie ni moja wao sorry I beg to differ ndugu.

mimi nasema huna tofauti na Dr. Al Zawahiri... usomi wako ni wa kutumiwa na mafisadi kuwalaghai wananchi ili waendelee kupata shida.... haina tofauti na kujitoa muhanga na kuua watu innocent
 
mimi nasema huna tofauti na Dr. Al Zawahiri... usomi wako ni wa kutumiwa na mafisadi kuwalaghai wananchi ili waendelee kupata shida.... haina tofauti na kujitoa muhanga na kuua watu innocent

Sawa mzee endelea kuna msemo maarufu unasema hivi Never Argue with a nutter because people may not notice the difference between a fool and a normal person. Sihitaji kubishana zaidi endelea na mtazamo wako ila nahitaji hoja kwamba Who the hell is Askofu Laizer kuicommand serikali!!! Na anapata wapi confidence ya kusema hayo!!!!
 
Sawa mzee endelea kuna msemo maarufu unasema hivi Never Argue with a nutter because people may not notice the difference between a fool and a normal person. Sihitaji kubishana zaidi endelea na mtazamo wako ila nahitaji hoja kwamba Who the hell is Askofu Laizer kuicommand serikali!!! Na anapata wapi confidence ya kusema hayo!!!!

it can not change any reality.. you resemble Al Zawahiri in all aspects.... i am glad tha i have unfold the truth.... above all you are a hate preacher
 
it can not change any reality.. you resemble Al Zawahiri in all aspects.... i am glad tha i have unfold the truth.... above all you are a hate preacher

Mkiishiwa hoja huwaga mnakuwa hivyo yule mdini fulani mdini mnajisahau nchi ndio wadini wakubwa ila kwenu nyie definition ya udini ni uislamu pumbavu kabisa!!!!!
 
Mkiishiwa hoja huwaga mnakuwa hivyo yule mdini fulani mdini mnajisahau nchi ndio wadini wakubwa ila kwenu nyie definition ya udini ni uislamu pumbavu kabisa!!!!!

which ever language and insult you will use... your blood remain contaminated with hate and sodomy....i remain bold that if not the same Al Zawahiri then you have the same mind and idiology with Ayman Al Zawahiri.....
 
Kwa taarifa yako Ng'wanangwa mie niko makini kuliko unavyofikiri nakupa picha nina GPA ya nguvu kwenye first degree (honours), Nina distinction katika degree zilizobakia. Nimesoma vyuo hivyo mnavyoviita makini msitake kutudharau waislamu bure tunawaburuza darasani halafu mnaleta kelele zenu za nini!!!

sawa lakini kama umesoma Afghanistan, au Pakistan au Iran au Tunisia basi ujue wewe ni juha tu.

Pumba unazomwaga hapa ni distinctive kweli maana zimejaa ujuha-ujuha tu.
 
sawa lakini kama umesoma Afghanistan, au Pakistan au Iran au Tunisia basi ujue wewe ni juha tu.

Pumba unazomwaga hapa ni distinctive kweli maana zimejaa ujuha-ujuha tu.

Hahaha vyuo nilivyosoma mie nakuhakikishia ni kimoja tu kiko ranked chini 100 nacho ni UDSM venginevyo vyote viko katika top 20 duniani think again juha wewe
 
Millya: Sijatumwa na Lowassa kumshtaki Sendeka


na Mwandishi Wetu


amka2.gif
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, James ole Millya, amesema hakutumwa na aliyekuwa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, kumshtaki mbunge wa Simanjiro Christopher ole Sendeka. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, alisema yeye alifikia uwamuzi huo baada ya kupigwa kofi na Sendeke kitu kilichomvunjia heshima mbele ya jamii.
"Lengo la kumwingiza Lowassa katika kesi hii ilikuwa kujitafutia umaarufu kwa Sendeka mwenyewe na kutafuta huruma na kusaka misaada ya kumsaidia katika kesi hasa kwa wabaya wa Lowassa.
"…Naomba nisisitize kuwa kabla ya kufungua kesi hii na kwa kuwa ilitokea katika kikao ambacho Lowassa alikuwepo mgeni rasmi, yeye binafsi na Askofu Thomas Laizer waliniita nami nikaitikia wito wa kuwaona," alisema Millya.
Alisema hivi sasa anakusudia kukata rufaa dhidi ya Sendeka kwa vile hakuridhishwa na mwenendo mzima wa kesi hiyo iliyoendeshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.
"Ni wazi kuwa binafsi sijaridhishwa na hukumu iliyotolewa na naamini kuwa Sendeka ana kesi ya kujibu, lakini napenda kusisitiza kuwa nina imani kubwa na mahakama na vyombo vingine vya dola, hivyo basi kuteleza katika ngazi hii si mwisho wa mahakama kutoa haki katika kesi hii.
"…Naamini mahakama na vyombo vingine vinavyohusika vya serikali vitaungana nami kama ambavyo vimefanya katika jitihada za kutafuta haki yangu mpaka ipatikane," alisema Millya.
Alisema anafikiria namna ya kuiomba serikali kwa kuwa ndiye mshtaki katika kesi hiyo kufikiria namna ya kukata rufaa kwa vile inaonyesha kulikuwa na mazingira yaliyojengwa kupoteza maana ya kesi wakati ikisikilizwa.
"Kila mmoja anaweza kuona hata tukio la shahidi mmoja aliyetakiwa kutoa ushahidi na serikali amegeuka kuwa mmoja wa wana kamati ya maandalizi ya mapokezi ya mshtakiwa," alisema Millya.
Kutokana na hali hiyo, Millya ameitaka serikali kumfungulia mashtaka kwa kuidaganya mahakama kwa vile hakuwa mkweli pindi alipotakiwa kutoa ushahidi.
Alisema baada ya yeye kwenda mahakamani, ameshuhudia mambo mengi kutokea ikiwa ni pamoja na haki ya mtu kuchezewa kwa maslahi ya mtu mmoja au kikundi fulani.
‘Baadhi ya mambo hayo ni matumizi mabaya ya vyombo vya habari ambavyo vilikuwa na lengo la kuandika habari potofu na za kunikandamizi… naelewa nia hiyo," alisema Millya.
Sendeka alikuwa akikabiliwa na kosa la shambulio la kudhuru mwili na kutishia kwa silaha. Ilidaiwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo Januari 9, mwaka jana majira ya saa 10:00 jioni katika Chuo cha Ualimu Monduli.
 
RAIA MWEMA UGHAIBUNI

Unafiki wa kina Profesa Mwandosya

Evarist Chahali, Uskochi Februari 27, 2008



BAADHI ya ndoto zangu za utotoni zimetimia, nyingine zinakaribia kutimia na nyingine zimekufa kifo cha asili.

Miongoni mwa ndoto zangu "zilizofariki dunia" ni pamoja na ile ya kuwa msanii wa muziki wa kufokafoka (rapa) ambaye pia ni mtengeneza muziki (prodyusa).

Ndoto za kuwa rapa zilikufa mapema nilipobaini kwamba nisingemudu "kumwaga vina" ipasavyo kutokana na "ulimi mzito."

Ndoto ya uprodyusa ilichochewa zaidi na namna ninavyowathamini watu wanaomwezesha msanii kufanya vizuri kwenye fani yake bila wao (maprodyusa) kupata sifa zinazostahili.

Wimbo unapotamba, anayevuna sifa ni msanii, ni watu wachache sana wanaojihangaisha kujua nani aliyetengeneza wimbo huo. Na hiyo si kwenye muziki pekee, kwani mara nyingi hata tunapoona filamu nzuri, wengi wetu tunasahau umuhimu wa muongozaji mkuu, wataalam wa "stunts", "special effects" na hata "extras".

Sikufanikiwa kutimiza ndoto zangu za uprodyusa baada ya masuala mengine muhimu zaidi kujitokeza maishani mwangu. Hata hivyo, mapenzi yangu kwa muziki wa kufokafoka bado yapo palepale. Napata uhuru zaidi wa kuupenda muziki huo (ambao hupendelewa zaidi na vijana) kwa vile kwa mujibu wa taratibu zetu huko nyumbani umri si kigezo cha mwisho wa ujana (waulize UVCCM wakutafsirie kijana ni mtu wa aina gani.)

Mapenzi yangu kwenye rap yamekuwa yakinihamasisha kufuatilia kwa karibu kinachoendelea kwenye dunia ya muziki huo. Naamini wengi wenu mnamfahamu rapa maarufu Jay-Z.

Kwa wasiomfahamu, huyu ni mshirika wa Beyonce na waliambatana pamoja kwenye ziara yao ya hivi karibuni huko nyumbani ambako rapa huyo alifanya onyesho na kutekeleza jukumu lake la kuleta changamoto kwenye sekta ya maji duniani.

Rapa huyo ni miongoni mwa Wamarekani Weusi walio matajiri na wenye mvuto mkubwa kwenye jamii. Hivi karibuni alitoa albamu yake mpya iitwayo "American Gangster".

Baadhi ya wachambuzi wa muziki wa kufokafoka nchini Marekani wamemlaumu Jay-Z kwa namna albamu hiyo ilivyo na mapungufu katika ujumbe kwa baadhi ya Wamarekani Weusi wenzie wanaoendelea kuamini katika maisha ya silaha, madawa ya kulevya, uhalifu na "ponda mali kufa kwaja" bila kusahau matumizi ya neno "nigger" (kwenye rap wanaita "nigga").

Wachambuzi hao wanadai kwamba walitarajia kwamba rapa huyo ambaye jina lake halisi ni Shawn Carter angeenda mbali zaidi ya staili ya kawaida ya muziki wa rap iliyotawaliwa na kujisifu kwingi, kuthamini "ghetto fabulous", maneno yasiyofaa dhidi ya wanawake, "ujanja wa mtaani" ambao kwa bahati mbaya umeishia kujaza Wamarekani Weusi wengi magerezani na ujumbe mwingine usio na umuhimu mkubwa kwa mtu anayetaka kujikomboa kutoka tabaka la chini (social mobility).

Kimsingi, Jay-Z anaonekana machoni mwa wachambuzi hao kama mnafiki kwa kuthamini zaidi mauzo ya muziki wake bila kujali umuhimu wa ujumbe uliomo kwenye nyimbo zake.

Pengine hadi hapa msomaji wangu mpendwa unadhani kuwa makala hii ni kuhusu muziki pekee. Hapana. Dhana kuu ni UNAFIKI (kama huo wa Jay-Z).

Kwanza, Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya aliwashangaza wengi hivi karibuni alipowataka DAWASCO kutowaanika hadharani mawaziri wanaodaiwa bili za maji. Binafsi, licha ya uwaziri wake, namheshimu Mwandosya kutokana na uprofesa wake kwenye fani inayohitaji akili ya kutosha.

Tafsiri pana katika hoja ya Mwandosya ni kwamba vigogo wanastahili "special treatment" kutoka kwa DAWASCO bila kujali kwamba kwa kufanya hivyo Mamlaka hiyo itajikuta inabagua wateja wake ambao wote wana haki na wajibu sawa katika kupata na kulipia huduma ya maji.

Kama waziri mpya anaanza kazi kwa "gea" ya namna hiyo, basi tuna safari ndefu na ya shaka katika visheni ya Taifa ya kuhakikisha kila Mtanzania anapata maji.

Kati ya vikwazo vikubwa vya maendeleo barani Afrika ni tabia sugu ya kulindana. Deni ni deni tu, mdaiwa akiwa waziri au mpiga debe wa daladala wote wanapaswa kulipa deni wanalodaiwa ili kuiwezesha DAWASCO kuwahudumia wateja wake kulingana na matarajio.

Ushauri wa bure kwa Mwandosya ni huu: kama anajisikia vibaya pindi waziri mmoja anapotajwa kuwa mdaiwa sugu wa maji, anachopaswa kufanya ni kuwasiliana na waheshimiwa wenzie kwa faragha kwamba wanakwamisha ufanisi wa mamlaka hiyo iliyo chini ya wizara yake, na wasipolipa bili wataumbuka hadharani. Kuficha tatizo hakuwezi hata mara moja kuwa sehemu ya ufumbuzi wa tatizo hilo.

Unafiki wa pili umejitokeza huko Monduli katika mapokezi ya aliyekuwa waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa ambako Askofu Thomas Laizer wa KKKT alijiingiza kwenye ulingo wa siasa na kurusha vijembe kadhaa dhidi ya anaiodhani wanamwandama Lowassa kuhusu sakata la Richmond.

Kauli za mchunga kondoo wa Bwana huyo ndizo kwa namna moja au nyingine zinaakisi malalamiko ya baadhi ya Waislam kwamba wao wakizungumzia mambo ya siasa wanaambia ni mwiko kuchanganya dini na siasa, lakini akina Laizer wanaweza kupanda majukwaa ya kisiasa na kuleta porojo ambazo haziwezi kuwasaidia waumini wao kuuona ufalme wa Mbingu.

Hivi msomaji unapomsikia Askofu anatoa kauli kama hii (nanukuu maneno ya Askofu Laizer) "Ukuni ulioko kwenye kona usiucheke ukuni ulioko jikoni ukiungua kwa sababu nao unasubiri kuungua" unapata picha gani?


Tafsiri ya haraka haraka ni kwamba watu wanaomcheka Lowassa wanapaswa kujua kuwa nao wanaweza kukumbwa na "tsunami ya kisiasa" kama iliyomkumba Lowassa. Askofu huyo alipaswa kuacha vijembe na badala yake angesisitiza "kila kuni kuogopa moto wa milele unaowasubiri wadhambi wote siku ya kiama."


Alinichanganya zaidi alipodai "kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe" kwani kama ukweli ndio huo basi tuna umuhimu gani wa kuwa na viongozi wa dini kwani "kila muumini atakwenda peponi au motoni kivyake."

Unafiki wa tatu ni katika taarifa zilizopatikana hivi karibuni kwamba baadhi ya mafisadi walionufaika na fedha za EPA wameanza kuzirejesha. Hivi kwanini hadi leo hakuna hata mtu mmoja aliyefikishwa kwenye chombo cha dola kuhusiana na suala hilo? Kila siku tunasikia kwamba wahusika watachukuliwa hatua na uchunguzi unaendelea.

Sawa, hata uchunguzi wa kupata tiba ya ukimwi umekuwa ukiendelea kwa zaidi ya muongo mmoja sasa na bado hakuna mafanikio. Kufanya uchunguzi dhidi ya mtuhumiwa aliye huru ni sawa kabisa na kukwamisha uchunguzi huo kwa vile mtuhumiwa atauvuruga.

Katika utetezi wa hivi karibuni wa Lowassa, jina la Johnson Mwanyika limetajitokeza tena. Narudia kutoa wito kwamba Mwanyika na Edward Hosea lazima wajiuzulu. Hawa ni sehemu ya tatizo wanalolichunguza. Kuendelea kwao kuwa wajumbe wa tume inayochunguza ufisadi wa Benki Kuu ilhali Ripoti ya Tume teule ya Bunge imeonyesha bayana mapungufu waliyonayo kunaweza kuwafanya wananchi wapoteze imani kwa tume hiyo. Pia nafasi zao kama Mwanasheria Mkuu na Mkurugenzi wa TAKUKURU zimeshachafuka kutokana na Ripoti hiyo, na kwa kung'ang'ania kubaki madarakani wanaweza kupunguza pia hadhi za taasisi wanazoongoza.



Barua-pepe: epgc2@yahoo.co.uk
Blogu: http://chahali.blogspot.com
 
Mgalanjuka,

Mie spit tu bali najenga arguments na ndio maana natoa argument zengine hapa watu wengine wanakimbia. Mie nimeuliza a solid question kwanini mnamuandama JK ukiondoa ufisadi Jakaya Kikwete amejitahidi na mie hapo nampongeza. Ila kwakuwa nyie na chuki zenu dhidi ya Kikwete mnaropoka ropoka vitu visivyo na maana. Mnasupport a religous institution kuwalazimisha serikali iwafuate mnadhani mnatengeneza taswira gani Tanzania. Who the hell are maaskofu in Tanzania governance?!!! Think big ndugu.

ficha upumbavu wako aisee, kama tungekuwatunamuandama kwa sababu ya dini yake . Kwa nini tunataka mkapa apelekwe mahakamani? Na yeye kwa nini anazuia hii kitu? Nijibu kwanza halafu unganisha na dini zenu kama utapata point yoyote hapo..jk ni too low kashindwa
 
ficha upumbavu wako aisee, kama tungekuwatunamuandama kwa sababu ya dini yake . Kwa nini tunataka mkapa apelekwe mahakamani? Na yeye kwa nini anazuia hii kitu? Nijibu kwanza halafu unganisha na dini zenu kama utapata point yoyote hapo..jk ni too low kashindwa

Lini mmemuandama zaidi ya kumtoa katika list of shame kwenye website ya chadema basi. Sasa mnamsifu mkapa kuwa anafanya kazi nzuri sana Sudan mmekaa mkajiuliza kwanini mjadala wake kufikishwa mahakamani umeishia wapi? Na Ivuga naona wewe umekuwa mpumbavu na sio mie soma vizuri maneno niliyoyasema ni hivi JK katika UFISADI SIMUINGI MKONO. Haya turudi kwenye mada Askofu Laizer ni nani!!!!!
 
Askofu alisema Makamba aache tautology. Msitari wa Biblia anaoutumia sio sahihi kwani yeye hana elimu ya Theologia bali aendelee na propoganda za Chama chake (CCM = Chama cha Makamba).
 
Lini mmemuandama zaidi ya kumtoa katika list of shame kwenye website ya chadema basi. Sasa mnamsifu mkapa kuwa anafanya kazi nzuri sana Sudan mmekaa mkajiuliza kwanini mjadala wake kufikishwa mahakamani umeishia wapi? Na Ivuga naona wewe umekuwa mpumbavu na sio mie soma vizuri maneno niliyoyasema ni hivi JK katika UFISADI SIMUINGI MKONO. Haya turudi kwenye mada Askofu Laizer ni nani!!!!!

uliona lini tukimsifia mkapa? Nani alimsifia kuhusu sudan kama sio mjomba ako kikwete katika mahotuba yake? Sisi hapa hatutumii dini kama kigezo sisi tunaangalia utendaji kazi wake na jinsi anavyowalinda hao ndugu zake mafisadi.kama jk ni mchapa kazi basi awapeleke hao mafisadi mahakamani? Na unajua kitu hosea alichosema kuhusu jk? Hosea naye ni mdini? Nani alimteua hosea? Acha unazi na udini wewe , elimu yako haujakusaidia tu?kama humuungi jk katika ufisadi basi mada imefungwa manake yaliyotokea arusha ni ufisadi pia. Its means you dont know where you stand :
 
Back
Top Bottom