Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,273
Kauli ya Baba Askofu Rev.Dr.Stephen Munga (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, baada ya Naibu Spika kushiriki igizo la kuizika Chadema.
______________
Naibu Spika (Dr.Tulia Ackson) ameizika Chadema mazishi ya Kikristo. Tunamshukuru kwa kuudhihaki msalaba.
Mungu amrehemu!
______________
Naibu Spika (Dr.Tulia Ackson) ameizika Chadema mazishi ya Kikristo. Tunamshukuru kwa kuudhihaki msalaba.
Mungu amrehemu!