MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Hana HOJAOk umesikika! Haya jibu hoja yake, then anzisha uzi juu ya askofu shoo!!
Hana HOJAOk umesikika! Haya jibu hoja yake, then anzisha uzi juu ya askofu shoo!!
Ukiangalia ripoti ya CAG ipo kimashambulizi zaidi kuliko uhalisia!Ufisadi ulikuwepo awamu ya 5 kuliko awamu zote kwa mujibu wa CAG
Sio unatajwa, umetamalaki! Wapuuzi Sana hawa!Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuishi kwa mshikamano kama watu wa Taifa moja, kuepuka kubaguana kwa namna yoyote ile.
“Kwa kuwa Mungu anatupenda basi tuheshimiane, tulinde utu, mambo ya Ufisadi yanayoanza kutajwajatwa sasa, ubinafsi na kiburi, iwe kisiasa au kanisani, au kiburi mambo hayo hayaleti baraka. Tusimamie yaliyo ya haki, ndipo amani ya kweli inayotoka moyoni inaweza kutawala
Ameyasema hayo Jumamosi Aprili 16, 2021 wakati akitoa salamu za Pasaka kwa Watanzania, amesema kila mmoja anapaswa kusimamia haki na kweli ili amani iweze kutawala katika mioyo ya watu na hata katika Taifa.
Mwananchi wameripoti
Kinembe usiingilie dini, ccm imemaliza hii nchi! Tuanze na hilo kwanza haya mengine yatajiseti tu!Askofu shoo, wewe pia unatajwatajwa kule jimbo la Konde kuhusu bilioni mbili, wanasema Kuna ufisadi kwenye hayo mabilioni, yamepigwa, na pia Ile hoteli ya matema, Mali ya kanisa, mmeshaitafutia mteja, Wana Konde walipokataa Mali yao isiuzwe, ukaandaa zengwe kumfukuza askofu wao.
Yaani wewe askofu wa kilimanjaro, unafunga safari mpaka Mbeya kumfukuza askofu mwenzako, ukijua katiba ya kanisa haikuruhusu na kukupa mamlaka
Haya anzisha uzi kuhusu askofu shoo na madai yakoHana HOJA
CAG Assad nae alikuwa hafai, huyu nae hafai...aisee nyie watu wezi banaUkiangalia ripoti ya CAG ipo kimashambulizi zaidi kuliko uhalisia!
Baba Askofu Shoo hutakaa uishi na kumuona rais M- KKKTAskofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuishi kwa mshikamano kama watu wa Taifa moja, kuepuka kubaguana kwa namna yoyote ile.
“Kwa kuwa Mungu anatupenda basi tuheshimiane, tulinde utu, mambo ya Ufisadi yanayoanza kutajwajatwa sasa, ubinafsi na kiburi, iwe kisiasa au kanisani, au kiburi mambo hayo hayaleti baraka. Tusimamie yaliyo ya haki, ndipo amani ya kweli inayotoka moyoni inaweza kutawala
Ameyasema hayo Jumamosi Aprili 16, 2021 wakati akitoa salamu za Pasaka kwa Watanzania, amesema kila mmoja anapaswa kusimamia haki na kweli ili amani iweze kutawala katika mioyo ya watu na hata katika Taifa.
Mwananchi wameripoti
Mbowe atagombea 2025; atashinda.Baba Askofu Shoo hutakaa uishi na kumuona rais M- KKKT
Kwa idadi ya Wa KKKT ni ndotoMbowe atagombea 2025; atashinda.
Kumbe wewe unampigia kura mgombea wa dhehebu lako!Kwa idadi ya Wa KKKT ni ndoto
Ripoti kama inashambulia na kukejeli! Shame on them!CAG Assad nae alikuwa hafai, huyu nae hafai...aisee nyie watu wezi bana
ziko sababu nyingi sana za kupiga kura hiyo pia ni mojawapo. KKKT 2015 walisema ilikuwa zamu yao kwamba toka uhuru wajawahi kutoa rais na bado wanaota hizo ndoto na ziko kwa gaidi Mbowe. K wa gaidi Mbowe mkeka utachanikaKumbe wewe unampigia kura mgombea wa dhehebu lako!
Watawala hata neno HAKI hawalitaki. Shauri ya KIBURI.Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuishi kwa mshikamano kama watu wa Taifa moja, kuepuka kubaguana kwa namna yoyote ile.
“Kwa kuwa Mungu anatupenda basi tuheshimiane, tulinde utu, mambo ya Ufisadi yanayoanza kutajwajatwa sasa, ubinafsi na kiburi, iwe kisiasa au kanisani, au kiburi mambo hayo hayaleti baraka. Tusimamie yaliyo ya haki, ndipo amani ya kweli inayotoka moyoni inaweza kutawala
Ameyasema hayo Jumamosi Aprili 16, 2021 wakati akitoa salamu za Pasaka kwa Watanzania, amesema kila mmoja anapaswa kusimamia haki na kweli ili amani iweze kutawala katika mioyo ya watu na hata katika Taifa.
Mwananchi wameripoti