Askofu Shoo asema Ufisadi umeanza kutajwatajwa tena, hauleti baraka kwa taifa

BigTall

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
422
1,049
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuishi kwa mshikamano kama watu wa Taifa moja, kuepuka kubaguana kwa namna yoyote ile.


“Kwa kuwa Mungu anatupenda basi tuheshimiane, tulinde utu, mambo ya Ufisadi yanayoanza kutajwajatwa sasa, ubinafsi na kiburi, iwe kisiasa au kanisani, au kiburi mambo hayo hayaleti baraka. Tusimamie yaliyo ya haki, ndipo amani ya kweli inayotoka moyoni inaweza kutawala


Ameyasema hayo Jumamosi Aprili 16, 2021 wakati akitoa salamu za Pasaka kwa Watanzania, amesema kila mmoja anapaswa kusimamia haki na kweli ili amani iweze kutawala katika mioyo ya watu na hata katika Taifa.

Mwananchi wameripoti
 
Askofu shoo, wewe pia unatajwatajwa kule jimbo la Konde kuhusu bilioni mbili, wanasema Kuna ufisadi kwenye hayo mabilioni, yamepigwa, na pia Ile hoteli ya matema, Mali ya kanisa, mmeshaitafutia mteja, Wana Konde walipokataa Mali yao isiuzwe, ukaandaa zengwe kumfukuza askofu wao.

Yaani wewe askofu wa kilimanjaro, unafunga safari mpaka Mbeya kumfukuza askofu mwenzako, ukijua katiba ya kanisa haikuruhusu na kukupa mamlaka
 
Kutajwa kwa ufisadi siokubaya kwakua watanzania wanaweza sasa kumkosoa hata rais bila ya kupotea wala kuumizwa.

Chamsingi kama kunamtu amemusa hali ya ufisadi sehem, wahusika waanze kupamulika kikamilifu.

Kipindi kilichopita ilikua sio lahisi hatakama kuna upigaji mtu kuthubutu kusema.

Tumeona hata wizi ulipofanyika hadi kina polepole waliJIvika u CAG. wakawa wasemaji wa mwendazake.
 
Kutajwa kwa ufisadi siokubaya kwakua watanzania wanaweza sasa kumkosoa hata rais bila ya kupotea wala kuumizwa.

Chamsingi kama kunamtu amemusa hali ya ufisadi sehem, wahusika waanze kupamulika kikamilifu.

Kipindi kilichopita ilikua sio lahisi hatakama kuna upigaji mtu kuthubutu kusema.

Tumeona hata wizi ulipofanyika hadi kina polepole waliJIvika u CAG. wakawa wasemaji wa mwendazake.
Bora usikosoe lakini ufisadi usiwepo kuliko kukosoa kulikojaa ufisadi
 
Bora usikosoe lakini ufisadi usiwepo kuliko kukosoa kulikojaa ufisadi
Yaan kwa upuuzi ule wakina jiwe.tilioni na ushee inapotea halafu yeye polepole wake wanajibu kihuni tu.
Wewe ulishawahi kusikia kwenye nchii tilioni inapotea na haijulikan ilikoenda kilahic tu.halafu mtu wachama ndio anajibu.
Yaan nchi hii inawatu wa hovyo sana.
 
Yaan kwa upuuzi ule wakina jiwe.tilioni na ushee inapotea halafu yeye polepole wake wanajibu kihuni tu.
Wewe ulishawahi kusikia kwenye nchii tilioni inapotea na haijulikan ilikoenda kilahic tu.halafu mtu wachama ndio anajibu.
Yaan nchi hii inawatu wa hovyo sana.
Trion ya sas hivi si inaweza kuwa bilion ya 2005?
 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuishi kwa mshikamano kama watu wa Taifa moja, kuepuka kubaguana kwa namna yoyote ile.


“Kwa kuwa Mungu anatupenda basi tuheshimiane, tulinde utu, mambo ya Ufisadi yanayoanza kutajwajatwa sasa, ubinafsi na kiburi, iwe kisiasa au kanisani, au kiburi mambo hayo hayaleti baraka. Tusimamie yaliyo ya haki, ndipo amani ya kweli inayotoka moyoni inaweza kutawala


Ameyasema hayo Jumamosi Aprili 16, 2021 wakati akitoa salamu za Pasaka kwa Watanzania, amesema kila mmoja anapaswa kusimamia haki na kweli ili amani iweze kutawala katika mioyo ya watu na hata katika Taifa.

Mwananchi wameripoti
Huyu mangi Hakuna kitu kabisa.

Yeye Yuko busy kufukuza maaskofu huko Mbeya kwasababu wanafuatilia UFISADI wake MATEMA BEACH.

Kazi kuumiza waumini KKKT kwa michango ili kulipa madeni ya UFISADI ya huyu mchagga.

UFISADI na Rushwa vilishawahi kuisha lini, ?
 
Askofu shoo, wewe pia unatajwatajwa kule jimbo la Konde kuhusu bilioni mbili, wanasema Kuna ufisadi kwenye hayo mabilioni, yamepigwa, na pia Ile hoteli ya matema, Mali ya kanisa, mmeshaitafutia mteja, Wana Konde walipokataa Mali yao isiuzwe, ukaandaa zengwe kumfukuza askofu wao.

Yaani wewe askofu wa kilimanjaro, unafunga safari mpaka Mbeya kumfukuza askofu mwenzako, ukijua katiba ya kanisa haikuruhusu na kukupa mamlaka
Kwa hiyo chawa umeona bora ufisadi uendelee kuwepo kuliko kuruhusu bosi wako na serikali yake wasemwe?

Kwanini msijibu hoja kwa hoja?

Kwa huu ujinga wenu mnaliangamiza hili taifa, naona mnazidi kutembea na kauli ya bosi wenu kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuishi kwa mshikamano kama watu wa Taifa moja, kuepuka kubaguana kwa namna yoyote ile.


“Kwa kuwa Mungu anatupenda basi tuheshimiane, tulinde utu, mambo ya Ufisadi yanayoanza kutajwajatwa sasa, ubinafsi na kiburi, iwe kisiasa au kanisani, au kiburi mambo hayo hayaleti baraka. Tusimamie yaliyo ya haki, ndipo amani ya kweli inayotoka moyoni inaweza kutawala


Ameyasema hayo Jumamosi Aprili 16, 2021 wakati akitoa salamu za Pasaka kwa Watanzania, amesema kila mmoja anapaswa kusimamia haki na kweli ili amani iweze kutawala katika mioyo ya watu na hata katika Taifa.

Mwananchi wameripoti
Si bora unatajwa tajwa hata tunajua na tumeona Mawaziri wakipambana na wapigaji..

Je inafanana na kipindi kile ufisadi hautajwi kwa sababu ukitaja utauliwa?

Ashukuru kwamba ufisadi unabainishwa.
 
Aliyepinga na Kupambana UFISADI walimsema...! UFISADI umetamalaki wameanza kujitokeza tena Wanasema...!

Baba Wa Mbinguni wee utusamehe tu..ni Kawaida yetu Kwenda mbele halafu hapo Hapo runareverse !

Nani alipinga ufisadi na kupambana nao alisemwa
 
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuishi kwa mshikamano kama watu wa Taifa moja, kuepuka kubaguana kwa namna yoyote ile.


“Kwa kuwa Mungu anatupenda basi tuheshimiane, tulinde utu, mambo ya Ufisadi yanayoanza kutajwajatwa sasa, ubinafsi na kiburi, iwe kisiasa au kanisani, au kiburi mambo hayo hayaleti baraka. Tusimamie yaliyo ya haki, ndipo amani ya kweli inayotoka moyoni inaweza kutawala


Ameyasema hayo Jumamosi Aprili 16, 2021 wakati akitoa salamu za Pasaka kwa Watanzania, amesema kila mmoja anapaswa kusimamia haki na kweli ili amani iweze kutawala katika mioyo ya watu na hata katika Taifa.

Mwananchi wameripoti
Tutaelewana tu muda unaanza kusomeka eeeh
 
Askofu shoo, wewe pia unatajwatajwa kule jimbo la Konde kuhusu bilioni mbili, wanasema Kuna ufisadi kwenye hayo mabilioni, yamepigwa, na pia Ile hoteli ya matema, Mali ya kanisa, mmeshaitafutia mteja, Wana Konde walipokataa Mali yao isiuzwe, ukaandaa zengwe kumfukuza askofu wao.

Yaani wewe askofu wa kilimanjaro, unafunga safari mpaka Mbeya kumfukuza askofu mwenzako, ukijua katiba ya kanisa haikuruhusu na kukupa mamlaka
Sidhani Kama unakijua unacho kiongea,kama umeambiwa basi umelishwa mitango pori.Fanya utafiti wako ndugu.
 
Askofu shoo, wewe pia unatajwatajwa kule jimbo la Konde kuhusu bilioni mbili, wanasema Kuna ufisadi kwenye hayo mabilioni, yamepigwa, na pia Ile hoteli ya matema, Mali ya kanisa, mmeshaitafutia mteja, Wana Konde walipokataa Mali yao isiuzwe, ukaandaa zengwe kumfukuza askofu wao.

Yaani wewe askofu wa kilimanjaro, unafunga safari mpaka Mbeya kumfukuza askofu mwenzako, ukijua katiba ya kanisa haikuruhusu na kukupa mamlaka
Sawa tumekusikia! Jibu hoja yake then anzisha uzi juu ya askofu shoo.
 
Huyu mangi Hakuna kitu kabisa.

Yeye Yuko busy kufukuza maaskofu huko Mbeya kwasababu wanafuatilia UFISADI wake MATEMA BEACH.

Kazi kuumiza waumini KKKT kwa michango ili kulipa madeni ya UFISADI ya huyu mchagga.

UFISADI na Rushwa vilishawahi kuisha lini, ?
Ok umesikika! Haya jibu hoja yake, then anzisha uzi juu ya askofu shoo!!
 
Back
Top Bottom