Kwan umelazimishwa kutoa?Hawa maaskofu sadaka zetu ndo zinawatia kiburi,wangekuwa wanapambana kutafuta hela wasingesema hayo madudu
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Askofu ana maono sana huyu....Askofu Shao, alikuwa katika utabiri wa yajayo Tanzania.
acheni maneno ya vijiweni elimu ipi bora africa ya zimbabwe? au ndio matango yenu ya vijiweniZimbabwe ndo nchi yenye elimu bora Africa mbali na uchumi wake mbaya