johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,877
Askofu Shao wa Kanisa Katoliki Zanzibar amesema wanaipitia Ripoti ya Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla ili kubaini yaliyopendekezwa na namna yatakavyomsaidia Mwananchi wa kawaida
Askofu Shao amesema ni vema Watendaji Wakuu wa Tume ya Uchaguzi wakapatikana kwa ushindani Huru ili wakaweze kutenda haki badala ya kuwa Wateule wa Rais
Chanzo: ITV habari
Askofu Shao amesema ni vema Watendaji Wakuu wa Tume ya Uchaguzi wakapatikana kwa ushindani Huru ili wakaweze kutenda haki badala ya kuwa Wateule wa Rais
Chanzo: ITV habari