Anaijua zimbabwe au kaamua kumtusi presidaa
Kweli kamchoka.
Zimbabwe unakwenda kununua pipi hela umejaza gunia. Mugabe ameisaidia nini nchi yake.
Yaani wangemuelewa huyo kiongoz wa dini. Wasingethubutu kuandika hivyo.Huko Zimbabwe nasikia ndio nchi iliyojaa mamilionea masikini!
Askofu buana katupa jiwe gizaniAnaijua zimbabwe au kaamua kumtusi presidaa
Naenda Zimbabwe "Roma"Kampiga za uso, alafu bila kujua waandishi wakahisi ni kiki
Ukiona ofisi ya rais inaamua kutoa taarifa hii ya askofu kuunga mkono juhudu za JPJM ujue kama ni matusi rais ameyafurahia sana. Na huwezi kutegemea la tofauti toka kwa MTU ambaye anafurahia sana kusifiwa.Anaijua zimbabwe au kaamua kumtusi presidaa