simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Grace karibu TZ I will marry you.
Hukuelewa ndugu yanguHawa maaskofu sadaka zetu ndo zinawatia kiburi,wangekuwa wanapambana kutafuta hela wasingesema hayo madudu
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Sasa umeelewa askofu alikua na maana ganiBig mistake kwa huyu askofu angeenda Zimbabwe akaone hali halisi. Kurugenzi Ikulu iwe ina filter hizi pongezi kwa Mheshimiwa Rais Magufuli kwani zingine huwa ni vijembe.
Tteteteterere balaa UVCCM wanachekelea rais wao kufananishwa na dikteta Mugabe
Swissme
Amenbaba askofu ana maono yalyotokea Zimbabwe yatokea hapa siku zijazo.