Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!Unaweza kuuliwa hata kama mjumbe
kweli huku ndiko kusukumizwa uongozini....Mjumbe hauwawi.....wapendwa hata nyie mashahidi.
View attachment 610757
Nawasilisha kama ilivyowasilishwa na aliyewasilisha.
Mshindi wa uchaguzi anapoomba aungwe mkonoNimekusikia ukimfananisha Rais Magufuli wa Tanzania na Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe. Nimekusikia ukiwataka wananchi wamuunge mkono Rais Magufuli. Dunia nzima inajua kuwa Rais Mugabe wa Zimbabwe ni dikteta. Anakandamiza upinzani. Anang'ang'ania madaraka kwa namna yoyote ile na kadhalika.
Je, kwa matendo na maneno ya Rais Magufuli na Rais Mugabe, wanafanana? Kwahiyo Rais Magufuli naye ni dikteta? Nani amekwambia Baba Askofu kuwa wananchi hawamuungi mkono Rais Magufuli? Kwanini inatumika nguvu kubwa kuomba wananchi wamuunge mkono Rais wao waliomchagua kwa kumuamini?
Rais atapendwa kwa maneno na matendo yake. Hakuna maajabu mengine!
Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mombasa, Kenya)
Take it from me, Askofu anaifahamu Zimbabwe vizuri sana. Pili, haya matamshi alivyoyatoa siyo kwa bahati mbaya, ndivyo alivyotaka ujumbe ufike.Ukiona ofisi ya rais inaamua kutoa taarifa hii ya askofu kuunga mkono juhudu za JPJM ujue kama ni matusi rais ameyafurahia sana. Na huwezi kutegemea la tofauti toka kwa MTU ambaye anafurahia sana kusifiwa.
Hata hivyo siamini kama huyo askofu anaifahamu Zimbabwe vizuri kwa sababu mtu anayeifahamu Zimbabwe hawezi kuomba Tanzania iwe kama Zimbabwe. Hawezi!
Anatifuliwa tu, haina namna.Unaweza kuuliwa hata kama mjumbe
kweli huku ndiko kusukumizwa uongozini....
yaani mahubiri ya kiongozi wa kidini yanakuwa presented kwenye letterhead ya ikulu?
hadi kufikia 2020 hizi kiki zitatafutwa hadi mvunguni hakianani!!
mtu anapigwa za uso alafu anachekelea maumivu na nundu za usoniaskofu ana akili sana..amempiga mtu za uso mbele ya macho yake..hahahaha
Umehamisha magoli...Wana maisha mazuri? sawa.
Vipi Mugabe Ana miaka mingapi madarakani.?
Kwa hyo askofu anataka magufuli awe Kama Mugabe madarakani?
Au amemfananisha maguful na Mugabe kwa lipi?
Yarudishe yalipokuwepoUmehamisha magoli...
leo kuna taarifa na picha ya vifaru humu jf vinaelekea ikulu ya Zimbabwe sijathibitisha ila kama kuna kufanana na mugabe mmh.Hahahahaha.Bishop aliona mbali sana