Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,247
- 12,404
Hakuna tofauti ya alichokifanya Musa kwa wana wa Israeli na alichokifanya Mandela kwa wa South Africa.Zote ni siasa baba yangu.Musa hakufanya siasa. Musa alitumwa na Mungu. Ndiyo maana alilalamika kidogo juu ya uwezo wake na Mungu akampa Haruni kumsaidia.