Askofu Pengo: Sikufahamu kuhusu waraka wa Kwaresma wa Baraza la Maaskofu Katoliki. Awaasa wasichanganye dini na siasa

Huu ndio ukweli. Kanisani au misikitini tunaenda kwa ajili ya ibada na si kufanya siasa. Sina uhakika kama ugandamizaji wa demokrasia unaoelezwa na hawa maaskofu ni kwa ajili ya haki ya kuabudu kuminywa? Kumbukeni kuwa kila muumini anayo itikadi yake ambayo kama maaskofu / mapadre/ mashehe wataiingilia, watakuwa wanawakwaza kiimani!
Ya Mungu yaacheni yawe ya Mungu na ya Kaisari acha yawe ya Kaisari!
Napata wakati mgumu sawa nnapokutana na comments za watu wa aina yako. Maisha ya siasa yanamgusa kila mtu. Miongoni mwa kazi za viongozi wa dini ni kuonya, kushauri hata kukaripia. Sasa ww unaposema ya kaisari mwachie kaisari so you mean hata haki za watu zikiporwa wao waendelee tu kuwaombea wanaosema "mniombee"?
 
Rudi kwenye uzi tafadhali malyenge... wewe nikikwambia taja andiko muhammad katahiriwa unalo? nilikwisha kujibu kwamba Ukristo sio dini ilaha ni Njia ya kwenda sardaus
Afadhali umekubali ukristo siyo dini. Nilikuwa sijaona hapa. Hongera.
 
Mimi naombeni mumsamehe huyu mzee. Angalieni na umri wake. Hii mada iko vizuri sana lakini ni sawa na kumuua mende kwa bunduki. Just forgive him.
 
Sirudi kwenye uzi. Wewe si ndio unaongoza kwa kukashifu uislam? Kila uzi ukibandikwa humu unapost manyama ya nguruwe na majitu yasiyoeleweka. Ndio na mimi kila uzi ukija unaohusu ukristo lazima nimwage mboga. Kama mnataka nisimwage tangazeni kuanzia leo mtaheshimu uislam. Umesikia Mgen mzee wa manguruwe?
unammwagia mchuzi aliye kwambia Wakristo wataenda sardaus na wasiwe na shaka
o2-62.jpg
na hiyo lazima muamini
19023a1c97ffe0cc8a8c43540827981b.jpg
na kuwaambia nyinyi lazima mwende finnar
19-surah-maryam-mary-72-728.jpg
ndio unammwagia mboga mwaga tu hayanihusu
 
Hutauona ufalme wa mbiguni wewe Mgen. Na dhambi moja tu itakayisababisha. Nayo ni kisema uongo....
 
Wanasema hawa watu hawana watoto , lakini vinginevyo watoto wa Pengo wangeaibika sana !
 
Namkubali sana pengo, kanisa na siasa ni wapi na wapi?! Wanaongelea suala la katiba mpya;je ndio wanayoihubiri??!! Kwa nini wasihimize kusoma biblia takatifu?! Hawa maaskofu nani amewatuma kusema hayo?!kama wamejituma wao ni kwa masilahi ya nani?! Ni masilahi ya kanisa au ya kwao maaskofu?!

Hivi kanisa ni maaskofu au ni waumini??!! Ni lini wamewakusanya waumini na huo ndio ukawa msimamo wao?! Hawa ni wanafiki tu,huu walaka wa maaakofu na waraka wa mbowe mwandishi wake ni mmoja?!

Ukizisoma kw umakini utagundua mwandishi ni mmoja.lkn ni lini hawa maaskofu wamekuwa watakatifu?! Je wao nani anawaasimamia?! Maisha wanayoishi yanafanana na kile wanachohubili?! Watanzania nchi yetu inachimbiwa shimo. Kazi ya kanisa ni kuinjilisha chakula cha kiroho kw waumini wake.sio kuifarakanisha nchi.
 
Hizi ni fikra potofu.Kila anaeongea UKWELI katika Taifa letu kwa sasa anakuwa au ni CHADEMA AU MCHOCHEZI.Ninyi ni watu wa AJABU sijawahi kuwaona.Maaskofu,Haki za binadamu,wanaharakati na mamilioni ya watanzania kwa sasa wanaongea lugha moja na CHADEMA.HAMJAJIFUNZA KITU BADO?.Ninaomba Mtanzania yoyote atakaebahatika kuwa malaika huko mbinguni arudi Tanzania ili aushuhudie huu UKWELI unaosemwa na maaskofu,Haki za binadamu, wanaharakati na mamilioni ya watanzania.

Ukweli upi. Mbona wewe akiguswa mbowe tu. Unaomba CV ya msemaji. Kama kuna Watu hawajui Demokrasia CHADEMA na nyie mamluki
 
Bavicha kwenu kiongonzi mzuri ni yule anayemsema vibaya jpm ?
Kiongozi mzuri ni yule anayesimama katika kweli, macho na akili zake hazina makengeza kama ya Pengo, akili na macho ya Pengo hayaoni wanayoyaona wenzake!!!
Haoni wala hajui kuwa watu wanapotea katika mazingira ya kutatanisha, wala hasikii kuwa kuna watu wanatekwa na kuachiwa na wala hasikii kuwa kuna miili lukuki inaokotwa katika fukwe za bahari yetu!
Yeye anaona na kusikia sauti ya Rais akisema "mniombee" baaasi!!!
 
Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo ni mzee sasa, tumsamehe tu. Kwa wengine uzee huja na tatizo la kusahau, nadhani naye pia limempata.
  1. Amesahau alivyowasema sana wanachama wa CCM waliojitokeza kwa wingi kutaka urais, akiwashangaa wanachotafuta huko wenye urais
  2. Amesahau alivyomuonya JK tena live kabisa kwenye ibada ya mazishi ya askofu mmoja kule Mwanza akamwambia kuwa serikali haiwezi kulipangia kanisa namna ya kuhubiri. Hii ilikuwa baada ya kanisa kutoa waraka fulani ambao serikali iliupinga
  3. Amesahau 1995 alivyomsema marehemu Kighoma Malima kuwa ana tamaa ndiyo maana ameamua kuhama CCM baada ya kunyimwa fursa ya kugombea urais
  4. Amesahau mengi mengi mengi anayohubiri kanisani kuhusu siasa za Tanzania hasa za vyama.
Hii ni kwaresma. Tumsamehe mzee wetu.
 
Dini na Siasa haviwezi kukwepana ni damu damu,cha msingi ni viongozi wa dini kuwa wawazi na kubalance mzani
 
Back
Top Bottom