BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,021
- Thread starter
- #41
Kama anaongea uongo kwanini wahusika ndani ya Serikali wasikanushe hadharani? Serikali hii imejaa waongo, wezi, mafisadi na wabadhirifu na kwa miaka mingi wamekuwa wakiongea uongo wa hali ya juu bila kujali athari ya uongo huo kwa nchi yetu.
Angalia uongo kama huu wa Majaliwa ambao hadi hii leo hakuna aliyeukemea watu ndani ya hii Serikali wameamua kujifanya kama vile hawakuusikia.
Angalia uongo kama huu wa Majaliwa ambao hadi hii leo hakuna aliyeukemea watu ndani ya hii Serikali wameamua kujifanya kama vile hawakuusikia.
Na hili ndio tatizo la Tanzania yetu. Ukitaka kupata mashabiki, ongea kile wanachopenda kusikia. Hata Bashite akiibuka leo na kujifanya anasapoti "Katiba Mpya," ataonekana shujaa...