Askofu Mokiwa avamiwa, mlinzi wake taabani!

Askofu Mokiwa avamiwa, mlinzi wake taabani!

Nafasi yake ya uaskofu mkuu imechukuliwa na Jacob chimeledye wa dayosisi ya kondoa hivyo yeye anabakia kuwa askofu wa jimbo la dsm

Asante sana kwa taarifa mkuu, sikuwa na update kabisa. Ila kwa DSM si ndiyo wanakutana maaskofu wao kukemea maovu? Hata majuzi walikuwa na kikao wote wa kikristo na inasemekana alikuwepo mtu wa serikali na walikataa kupiga naye picha.
 
Aise kwa hiyo sasa tuseme usalama wa Taifa unashabikia siasa!!! Jamani tutenganishe siasa na vitengo nyeti kama usalama wa taifa na usalama wa Raia!! Jeshi, etc!


Hiki kitengo hakina unyeti wowote hapa Tanzania kwa taarifa yako, Kwa nchi ambazo zina usalama wa taifa unafanya kazi nyeti usingesikia watu wanatorosha pesa, wanyama hai, rushwa za kijinga, mikataba ovyoovyo tu na mengineyo. Taasis kama FBI inafanyia uchunguzi hata viongozi walio madarakani kama hawatumii ofisi vibaya.

Kwa maana nyingine hii taasisi inatakiwa iwe mbele kuweza kufanya preemptive move kuzuia vitu kabla havijatokea. Je watu wanapozidi kuwa masikini pengo la walio nacho na wasio nacho likikua si hatari kwa usalama wa taifa?
 
Hii ndo amani na utulivu tulionao ! Watanzania amkeni usingizini hapa hamna amani wala utulivu, ukiachilia mbali matukio makubwa ya Ulimboka, Kibanda na wengineo nina marafiki zangu wengi ambao usiku hawalali kwa uwoga wakiofia usalama wao, alafu wanakuja wanasiasa wanaimba wimbo walioukariri wa amani na utulivu. Shame on them!
uamke nn sasa? unawaambia watanzania waamke wakamkamate nani ambaye ww unadhani anafanya mambo hayo? Je, ukiambiwani mgogoro wa kanisa utasemaje. acha vyombo vya dola vifanye kazi yake.
 
Haya mambo yanahitaji critical thinking kabla hujajitosa kuyajadili, hili la kuvamiwa viongozi ktk fikara zangu ni kwamba kuna watu wanatumia loop hole ya mpasuko wa kidini nchini aidha kulipiza visasi vyao binafsi dhidi ya viongozi hao na au kwa maslahi yao binafsi kuendeleza uhuni ujinga na upuuzi huo ili kuchagiza mpasuko wa kidini.
 
Mkuu Mzizi wa Ubuyu, sasa imefika wakati viongozi wa dini wahamasishe watu wajiandikishe kupifa kura na 2015 tufanya mageuzi!! Tumechoka mno. Kwa hakika itafanikiwa sana hii mbinu.
Viongozi wa dini ni wa dhehebu gani? na wahamasishe waumini wao kukipigia chama gani? una maanisha madhehebu ya kikristo yote ni Ant CCM? Chama tawala na serikali yake?
 
Hii sirikali ya awamu hii ni kiboko!afu uku mwishoni ndo wanaanza onyesha makucha yao!ila yana mwisho haya..no situation is permanent!apa apa duniani tunalipana!
 
Viongozi wa dini ni wa dhehebu gani? na wahamasishe waumini wao kukipigia chama gani? una maanisha madhehebu ya kikristo yote ni Ant CCM? Chama tawala na serikali yake?

Hapana mkuu Ipogolo, ninamaanisha kumchagua Rais Mkristu regardless of Chama!! Kwa hakika tumechoka mno ndugu zetu wanakufa. Nikiangalia nyuma fujo za Mwembechai na fujo za aina nyingine miaka ile ya Mh. Mwinyi sina cha kusema. Ila Mh. Mwinyi alijiahidi sana kuwakemea na kwa taarifa Waislam hawampendi sana kwa kuwa alizima kila hila zao za udini!!! Wa sasa kwa hakika simuelewi kuhusu udini!! Kama kweli yuko siriazi ni kwa nini mihadhara ya jioni ya waislam bado inaruhusiwa? Kama uko Dar ukipita Ubungo, Manzese, Temeke sehemu mbalimbali utajionea haya ninayoyasema na huku kuna usalama!! Tunatakiwa tukomeshe udini!! Bora ukabila mara 100 kuliko udini.
 
Hiki kitengo hakina unyeti wowote hapa Tanzania kwa taarifa yako, Kwa nchi ambazo zina usalama wa taifa unafanya kazi nyeti usingesikia watu wanatorosha pesa, wanyama hai, rushwa za kijinga, mikataba ovyoovyo tu na mengineyo. Taasis kama FBI inafanyia uchunguzi hata viongozi walio madarakani kama hawatumii ofisi vibaya.

Kwa maana nyingine hii taasisi inatakiwa iwe mbele kuweza kufanya preemptive move kuzuia vitu kabla havijatokea. Je watu wanapozidi kuwa masikini pengo la walio nacho na wasio nacho likikua si hatari kwa usalama wa taifa?
Emalau acha uchochezi bana.
 
... UKITAKA KUMUUA MBWA MPE JINA BAYA!sema ana kichaa atauwawa
Haya maneno aliyatumia mtukufu muislam Ilunga wakati akijenga hoja ya 'kutibaalaikum l kisasi' kuwa Waislamu washikamane kuua Kardinali, Askofu, Padre au/na Mlei
 
kwa wanao fuatilia habari za kila siku, mnaelewa kuwa uchaguzi katika kanina la anglikana umemalizika hivi karibuni. askofu mokiwa aliangushwa. uchaguzi huu umezua tafrani kubwa kanisani. amejaribu kugombea wa jimbo nako mambo ni magumu. kwa upande wangu washukiwa wa kwanza ni waanglikana wenyewe. huu ndiyo ukweli. tusimtafute mchawi
 
watakuwa ni waislamu kwasababu hata mtu akigombana na mke wake ni waislamu UKITAKA KUMUUA MBWA MPE JINA BAYA!sema ana kichaa atauwawa
Nakubaliana na wewe mkuu, hata yule mchungaji wa buseresere, Geita alikuwa amegombana na mke wake.
 
If I may ask jamani........huyu alikuwa na mlinzi au mchunga geti?????

1. Mambo ya watu wakubwa kuwaweka rehani maisha ya wanyonge madhara yake ndo kama haya......wao wanasema na kufanya mengi sana yanayoweza kuwa hatarishi kwa wanaowakemea.....ni kwa nini asiwe na mlinzi wa kampuni(trained na silaha??????????)

2. Viongozi wetu wa dini ni watu kama sisi nao wana maisha yao binafsi ati tusiwachukulie kama malaika........

Tujiulize memgi zaid ya uislamu na ukristo


Religion is the opium of the people- K. Marx
 
Wafuasi wa Ponda kazini endeleeni tu ila katu amtaweza Jeshi la Mungu linafanya kazi. Tanzania atuna Amani tuna Woga!
 
Kwani Radio Imani na TV si vishafungiwa mnataka ifungiwe ipi tena? au Waislamu tupigwe risasi sasa. Hizo ni propaganda. Give a dog a bad name then shoot it.
Kule Zanzibar aliuliwa Shekhe mkawa kimyaaa maana ku-amplify hizo habari doesn't serve your interests.

kuna kaneno 'TAKBIR' kakitamkwa akili yenu huwa inahama.
 
kwa wanao fuatilia habari za kila siku, mnaelewa kuwa uchaguzi katika kanina la anglikana umemalizika hivi karibuni. askofu mokiwa aliangushwa. uchaguzi huu umezua tafrani kubwa kanisani. amejaribu kugombea wa jimbo nako mambo ni magumu. kwa upande wangu washukiwa wa kwanza ni waanglikana wenyewe. huu ndiyo ukweli. tusimtafute mchawi

wacha uwongo wewe! Anglicanism inafuata UPENDO, hawa ni wale walenga mawe ukuta wakisema shetani. Huku sir Devil akiwa pembeni anawacheka tu!
 
Back
Top Bottom