mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 188
Huyo itakua kavamiwa na 'UHAMUSHO', 'UAMUSHO' (UAMSHO) au kajivamia mwenyewe! Ngoja tusubili majibu ya EfuBiAi.
Huyu mbona alishastaafu
watakuwa ni waislamu kwasababu hata mtu akigombana na mke wake ni waislamu UKITAKA KUMUUA MBWA MPE JINA BAYA!sema ana kichaa atauwawa
Huyo itakua kavamiwa na 'UHAMUSHO', 'UAMUSHO' (UAMSHO) au kajivamia mwenyewe! Ngoja tusubili majibu ya EfuBiAi.
Hajastafu mkuu, huyu ni Askofu wa Anglican!! alistaafu lini? Na ni nani alichukua nafasi yake? Nina hakika hajastaafu au labda niseme nimepitiwa na habari hii muhimu.
Asante sana mkuu kwa kusema ukweli. Sasa je hii nchi haina usalama wa Taifa? Si tunaishi nao kwenye jamii zetu kuanzia uswazi (mainfoma wapo), wauza mchicha, wapiga viatu rangi, wauza kahawa, wauza bidhaa za mkononi kwenye mabaa huku wamevalia suti kali kabisa!! Hawa wote hawana taarifa za mipasho hiyo ya kidini? Au wakipelea taarifa hazifanyiwi kazi kwa kuwa eti mnataka kutuletea mambo ya udini? Ingekuwa ni Wakristu wanapiga kelele kama mbwa mwitu kutukana na kukachifu dini za wengine basi ungeone kivumbi? Wakati wa Nyerere na Mkapa mbona sikuona wakristu wakiamka na kuanza kujirusha kwa CD chafu za uchochezi? Hawa mambo tuliyashuhudia wakati wa Mwinyi (kumbukeni sekeseke la Mwembechai Magomeni na kwinginezo, msikiti wa kwamtoro), leo hii yakaibuka tena awamu ya nne!!!! Sasa tuseme nini sasa!!Political and Religion analysts hebu tusaidieni hapa!!
watakuwa ni waislamu kwasababu hata mtu akigombana na mke wake ni waislamu UKITAKA KUMUUA MBWA MPE JINA BAYA!sema ana kichaa atauwawa
Kazi ipo Kiwete, Kinana na CCM kwa ujumla hamwezi kukwepa kikombe hiki coz ndio waanzilishi wa Single ya UDINI karibu tunapata ALBUM kamili. Nahofia hatuweiz kufika uchaguzi ujao tukiwa salama kama SERIKALI hawatachukua hatua stahiki. Ni mbaya sana hii lakini yote yana mwisho
Mwamsho kazini sasa wamehamia bara.. Baada ya fbi kuzingira z'bar.
Ni mwamsho tu hakuna wengine ushahidi wa vipeperushi upo.
Ewe sheikh Ilunga vijana wako hao, haya bwana tumalize uishi wewe na watukufu wenzako Tanzania hii..
kuna mwislamu alie kamatwa kwa hilo tukio? Msilete udini bana.Mtaji mkubwa wa waislam ni mauaji na vitisho
usifiche ukweli udini ameuanzisha slaa kupiga kampeni kupitia makanisani baada watu kujua ukweli mnageuza kibao lakini mtawadanganya wajinga na wasiojitambua.
Vyombo vya usalama havina kazi hapa tanzania! Ndio maana tunatumia CIA!
Huyu mbona alishastaafu
Asante sana mkuu kwa kusema ukweli. Sasa je hii nchi haina usalama wa Taifa? Si tunaishi nao kwenye jamii zetu kuanzia uswazi (mainfoma wapo), wauza mchicha, wapiga viatu rangi, wauza kahawa, wauza bidhaa za mkononi kwenye mabaa huku wamevalia suti kali kabisa!! Hawa wote hawana taarifa za mipasho hiyo ya kidini? Au wakipelea taarifa hazifanyiwi kazi kwa kuwa eti mnataka kutuletea mambo ya udini? Ingekuwa ni Wakristu wanapiga kelele kama mbwa mwitu kutukana na kukachifu dini za wengine basi ungeone kivumbi? Wakati wa Nyerere na Mkapa mbona sikuona wakristu wakiamka na kuanza kujirusha kwa CD chafu za uchochezi? Hawa mambo tuliyashuhudia wakati wa Mwinyi (kumbukeni sekeseke la Mwembechai Magomeni na kwinginezo, msikiti wa kwamtoro), leo hii yakaibuka tena awamu ya nne!!!! Sasa tuseme nini sasa!!Political and Religion analysts hebu tusaidieni hapa!!
mkuu hii ni filamu inachezwa ili kuonyesha kuna udini Tanzania. Bila shaka serikali inalielewa hili. na kwa sababu upeo wako ni mdogo basi nikurukia tu bila kufikiria. kwa akili ya kawaida, hivi kweli hao watu wangekuwa na nia kweli wangeishia getini? hii ni kudroo tension tu, sasa naanza kupata picha juu ya matukio yote yanayotokea. ila inaniudhi kwa sababu wanatoa watu kafara ili malengo yao yatimie. walaaniwe.
Mkuu hapo kwenye red, kazi iliyobaki ya usalama wa taifa ni kug'oa kucha, meno na wizi wa kura wakati wa uchaguzi basi!
Mkuu inasikitisha mno, usalama wa taifa upo bize na kuidhibiti CDM!!
Hebu angalia upumbavu wa vyombo vya usalama nchii.....
"Tayari tumepata taarifa, lakini nimejaribu kumtafuta askofu Mokiwa nimeambiwa kwamba anahojiwa na vyombo vya usalama, tunasubiri amalize tuzungumze naye ili tulifuatilie kwa ukaribu suala hili, kwani ni tukio la kushtusha," alisema Chilongani. "
Askofu aliwaambia kabla, hawakuhangaika kumpa ulinzi wala nini!! baada ya tukio ndipo wanajifanya wadindishaji!?