Askofu Mokiwa avamiwa, mlinzi wake taabani!

Askofu Mokiwa avamiwa, mlinzi wake taabani!

Suala la kushambuliwa kw Dr. Mokiwa siyo la kidini wala uamsho hawahusiki, wahusika wakuu ni walewale watesi wa Dr. Ulimboka na Absalom Kibanda.Hawa watu ni wataalamu wa kusoma alama za nyakati kisha kufanya tukio na baadae kulioanisha na mazingira waliyoyatengeneza wenyewe ili kukwepa kushukiwa. Walianza kwa kutengeneza mgogoro hewa ndani ya Chadema na kumgombanisha Marehemu Chacha Wangwe na mgogoro uliposhika kasi wakamuua Chacha Wangwe wakiamini kuwa jamii yote itawanyoshea mkono viongozi wa Chadema jambo ambalo lilishindikana. Wamechukulia kuondoka kwa Kibanda Freemedia kama kigezo kuwa alikuwa na ugomvi na mwajiri wake, haraka haraka wakafanya jaribio la kumuua kisha wakaanza kusamabaza uongo wao hata hapa jamvini kuwa mwajiri wake wa zamani ana mkono katika shambulio hilo.Kutokana na tishio la wana uamsho kwa viongozi wa dini ya Kikristo wakaona ni wakati muafaka wa kummaliza Dr. Mokiwa wakiamini kuwa mshukiwa mkuu atakuwa uamsho.IKumbukwe kuwa Dr. Mokiwa ni moja wapo wa viongozi wachache wa dini ambao ni majasiri kuikosoa serikali hadharani. Tusidanganyane hapa, uamsho katika hili la Mokiwa hawahusiki.
 
Hii hatari upelelezi ufanyike mapema.watuhumiwa wapatikane mapema kama watuhumiwa wa waliomtukana spika. Kabla mambo hayajawa kama znz
 
Inasikitisha kuona watu wakijadili kidini, fools that's what you are, fools I tell you...you are being part of the problem by childish mindset... The devil is very happy with you!!! There you have it booom!

which devil are you talking about? Yule 'ukuta' anayepigwa mawe kila mwaka na anaishi mji 'mtakatifu'??
 
Ole wao siku mkono wa Bwana utakapoanguka juu yao. Itakuwa kilio na kusaga meno. Wenye akili tunaendelea kusali, Kumbuka akikupiga kofi shavu la kulia mgeuzie na la kushoto. Wanaitafuta hasira ya Bwana. Mimi naogopa sana
 
am not coward kaka! Na ujue dini naielewa, hawa watu wamezidi. Mi ni mkristo haaswa! Yesu ni Bwana. Jino kwa jino

what are you waiting for JUST BRING IT ON OR SHUTUP.
Am sort of feedup with your empty threats.
 
Mimi huwa nashindwa kuelewa. MTU ANAUAWA KWA SABABU HAKUGAWA MKWANJA KATIKA DEAL LA MADAWA YA KULEVYA KULE ZENJI manasingizia eti waislamu wa uamsho. Hivi hamkusikia ile riport ya tanzania kuwa yapili kwa biashara ya madawa?. Kina nani wanaoifanya???.
TATIZO SIO HASA MAMBO YA DINI. TATIZO NI KUTOGAWA MIKWANJA!!
 
Jamii inasononeshwa na matukio haya yasiokwisha bali kuendelea kushamili...Watu fungueni macho kwa kupiga magoti na kumwomba MUNGU nila hizi zitafunguka....
 
CCM watakuambia "Tanzania kisiwa cha amani na utulivu"
 
Ifike Mahali viongozi wa dini wakishamalisha mafunzo yao ya theologia waende Jeshini ili wakitoka wawe makomandoo wa mwili na Roho...Akija jamambazi..Kareti kwa kwenda mbele...Aibu Sasa Tanzania
 
Nikianza ku-connect dot kuanzia Zanzibar mauaji ya Padre na kumuumiza mwingine kwa risasi (alikuwa afe siku zake hakizikuwa zimetimia) halafu eti wahusika hawakukamatwa!!!! Wale waliokamatwa juzi wakiwa na document kibao cha kukachifu dini, na yale ma cd na vipaaza sauti vya kuhubiri udini na kutukana pale ubungo na manzese darajani!! Basi ninasema Mbwa huyo jina lake ni baya sana anazidi yule mwenye Rabbies na inatakiwa auawe!!

Zogwale...inaonekana wewe ndio chanzo cha vurugu hapa inchini... kwani nini hutaki kuishi na watu wenye imani tofauti na wewe kwa amani? Uchunguzi sasa hivi unaendelea ya nini kilisababisha kifo cha Padri Mushi.... ila tu kwa dokezo ni kwamba AMEUAWA NA WENZAKE WALIOKUWA WANAFANYA BIASHRA PAMOJA....... ULIZA NI BIASHARA GANI HIYO? ZAIDI NENDA ZANZIBAR SASA HIVI KILA MTU ANAFAHAMU MKASA HUO! Kwa hiyo msilete chuki na mifarakano isiyo na maana hapa inchini.
 
Mimi huwa nashindwa kuelewa. MTU ANAUAWA KWA SABABU HAKUGAWA MKWANJA KATIKA DEAL LA MADAWA YA KULEVYA KULE ZENJI manasingizia eti waislamu wa uamsho. Hivi hamkusikia ile riport ya tanzania kuwa yapili kwa biashara ya madawa?. Kina nani wanaoifanya???.
TATIZO SIO HASA MAMBO YA DINI. TATIZO NI KUTOGAWA MIKWANJA!!

Jibu analo mkuu wa nchi kwani alishasema mwenyewe kuwa ana majina ya wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.
 
Hakika zile SMS za matamko ya kuwaondoa katika sura viongozi wa dini hakika naanza kuziamini!! Katika vipeperushi na sms zilea walitaja mokiwa, Malasusa, Pengo, na wengine!!! Kaeni Chonjo na kama serikali inataka amani ya nchi hii iendelee basi viongozi wote wa dini za kikristu wapatiwe ulinzi wa serikali. Wakati huo huo ule udini uliolelewa kwa awamu ya nne basi kabla haijamaliza muda wake waone ni namna gani ya kumaliza tatizo lao walilolilea.
Wewe unachuki zako ninafsi, Kuna taarifa Padri Zanzibar ameuawa na washirika, sasa hapa muislam amehusikaje? Au Hukumbuki Raisi Kikwete aliwakemea Mapadri kule Songea kwamba waache kuuza MADAWA YA KULEVYA? Tumieni akili zenu msikubali kufarakanishwa na watu kwa maslahi yao
 
huyu hajastafu. Yeye hakuchaguliwa kwa kipindi kingine kuwa askofu mkuu. kwa sasa yeye ni askofu mkuu. yule aliyechaguliwa ni askofu mkuu mteule. katiba ya anglikana inatoa muda wa kama miezi mitatu ya kuwa na askofu mkuu mteule, wakati huo mwingine anamalizia kipindi chake. kwa kifupi askofu mteule ataanza rasmi mwezi mei mwishoni baada ya kufanyiwa taratibu za ibada huko dodoma. chukulia mfano kenya, kibaki bado ni raisi, uhuru ni raisi mteule. kwa hiyo kwa sasa bado mokiwa ni askofu mkuu wa anglikana tanzania, anayo mamlaka yote yahusuyo askofu mkuu.
Huyu mbona alishastaafu
 
AMEUAWA NA WENZAKE WALIOKUWA WANAFANYA BIASHRA PAMOJA....... ULIZA NI BIASHARA GANI HIYO? ZAIDI NENDA ZANZIBAR SASA HIVI KILA MTU ANAFAHAMU MKASA HUO! Kwa hiyo msilete chuki na mifarakano isiyo na maana hapa inchini.

Kama ndiyo hivyo uchunguzi wa nini? Jichunguze maana wengine tumekuelewa ni mdau wa hao wenzako wapinga na wauwa ukristo na wafia uislam
 
Back
Top Bottom