Askofu Malasusa: Kizazi hiki hakipendi kuongozwa, wanataka uhuru. Uhuru usiokuwa na mipaka ni hatari sana

Precious Diamond

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
397
993
Akitoa neno katisha sherehe ya kumkaribisha kwenye majukumu yake mapya Askofu Malasusa amesema:

"Tuapitia katika nyakati ngumu sana ambazo watu wengi hawapendi kuongozwa, kizazi hiki ni kizazi ambacho watu wengi hawapendwi sana kuongozwa tangu watoto pale nyumbani, katika kaya zetu, watu hawapendi kuongozwa na wangependa uhuru.

"Lakini uhuru usiokuwa na mipaka ni uhuru hatari sana, sasa watu hawapendi kuongozwa katika taratibu za binadamu lakini zaidi linalotisha watu hawapendi kuongozwa kwa taratibu za Mungu."

"Ninawaomba sana kupitia kusanyiko hili, kila mkristo na kila aliyeumbwa na Mungu katika dini zetu mbalimbali apende kusoma neno la Mungu kwa usahihi ili kuepukana na mafundisho potofu yanayoendelea kuenea na kuharibu kundi la bwana."
 
Akitoa neno katisha sherehe ya kumkaribisha kwenye majukumu yake mapya Askofu Malasusa amesema:

"Tuapitia katika nyakati ngumu sana ambazo watu wengi hawapendi kuongozwa, kizazi hiki ni kizazi ambacho watu wengi hawapendwi sana kuongozwa tangu watoto pale nyumbani, katika kaya zetu, watu hawapendi kuongozwa na wangependa uhuru.

"Lakini uhuru usiokuwa na mipaka ni uhuru hatari sana, sasa watu hawapendi kuongozwa katika taratibu za binadamu lakini zaidi linalotisha watu hawapendi kuongozwa kwa taratibu za Mungu."

"Ninawaomba sana kupitia kusanyiko hili, kila mkristo na kila aliyeumbwa na Mungu katika dini zetu mbalimbali apende kusoma neno la Mungu kwa usahihi ili kuepukana na mafundisho potofu yanayoendelea kuenea na kuharibu kundi la bwana."
Wanadai kuwa Wazazi hawakusoma ilihali Me Wasomi wenyewe hata wakinyimwa unyumba tu na Ke wa ndoa au Pisi Kali kimahusiano hukimbilia JF kuomba ushauri, usomi umewasaidia nini hata washindwe kuwa na hekima kimaamuzi kwa Ke waliyeambiwa waishi nao kwa akili?

Ubinadamu kazi/Humanity is work.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Simuoni/sijamskia akiwaza kujenga kanisa imara na lenye miradi kabambe na huduma Bora... Mungu amsaidie
 
Back
Top Bottom