Ukinijibu swali ili nami naungana nawe ...Hivi Rais wa nchi ndiye ananunua ndege,kujenga SGR n.k au pesa za walipa kodi ndiyo zinafanya hivyo?Aliousema Askofu Zacharia Kakobe!
Ila akishangilia Saccos yako anakuwa mzuri siyo nyumb?Nashukuru Mungu sana kwa kunipa akili na maarifa ya kutambua viongozi wa dini wa kweli na wazandiki kamwe hawatadumu milele mbele ya hekalu za bwana.
U-Turn matataNina hela/mali nyingi kuliko serikali hii-Kakobe
Baada ya kupelekewa TRA kumkagua, kauli ika badilika ikawa hii:
Nilimaanisha nina pesa/mali nyingi kuliko serikali na akiba yangu imehafadhiwa kwa baba mbinguni-Kakobe
Kwa sasa TRA wanamwona kakobe Ni safiiikuna haja ya kuweka EFD kwenye makanisa ya kiroho, tumeshuhudia wachungaji wao wengi ni matajiri kupindukia kwa pesa za waumini wao.
Akina kakobe, gwajima na wengineo ni wezi sana.
Ugali huna hulka ya kudumaza fikraUgali ulitumika wapi !?
U-Turn matata
Miongoni mwa wanaojiita maaskofu, ambao wanastahili kupuuzwa ni Kakobe...kwani si ni huyu juzi juzi alimwita kiongozi mkubwa tu kuwa ni "mtoto wa haramu"?
naomba mumkumbushe mtumishi Kakobe yule afisa wa TRA aliekuwa mkoa wa kodi Kinondoni (Mwenge Office) aliekua na cheo cha Assistant Regional Manager - Audit, alipotoa ripoti ya ukaguzi wa kanisa la Full Gospel kuwa halikua na shida na wala hakuna kodi ilikwepwa, alivuliwa uo Umeneja na kuhamishiwa KigomaAskofu Kakobe amesema anabarikiwa sana na kauli mbiu ya Hapa Kazi Tu na kwamba Rais Magufuli ni mchapa kazi kweli kweli.
Kakobe amesema watu wenye hulka ya kufanya kazi kwa uzalendo uliotukuka aina ya Dr Magufuli ni wachache sana barani Afrika na sisi kama taifa hii ni neema.
Askofu Kakobe amewataka Watanzania kujijengea tabia ya kufanya kazi kwani katika maisha halisi hakuna njia ya mkato wala mteremko.
Mwisho, Kakobe amesema huko duniani kwenye maendeleo watu hufanya kazi kweli kweli na hata likizo zao ni siku 15 tu kwa mwaka na wengi hawachukui likizo mfano Japan, Marekani, Singapore na Korea kusini.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Mbona umeshajijibu wewe mwenyewe kwamba ndege zinanunuliwa na Rais kadhalika SGR inajengwa na Rais kwa kutumia fedha za kodi.Ukinijibu swali ili nami naungana nawe ...Hivi Rais wa nchi ndiye ananunua ndege,kujenga SGR n.k au pesa za walipa kodi ndiyo zinafanya hivyo?
Ila Kakobe naomba ufute na ile kauli yako dhidi ya Rais wetu ,naamini unaikumbukaAskofu Kakobe amesema anabarikiwa sana na kauli mbiu ya Hapa Kazi Tu na kwamba Rais Magufuli ni mchapa kazi kweli kweli.
Kakobe amesema watu wenye hulka ya kufanya kazi kwa uzalendo uliotukuka aina ya Dr Magufuli ni wachache sana barani Afrika na sisi kama taifa hii ni neema.
Askofu Kakobe amewataka Watanzania kujijengea tabia ya kufanya kazi kwani katika maisha halisi hakuna njia ya mkato wala mteremko.
Mwisho, Kakobe amesema huko duniani kwenye maendeleo watu hufanya kazi kweli kweli na hata likizo zao ni siku 15 tu kwa mwaka na wengi hawachukui likizo mfano Japan, Marekani, Singapore na Korea kusini.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
mishahara inalipwa kazi kwa saa unajua utapata $ ngapi@"johnthebaptist,
Kila MTU anapenda anataka afanye kazi hakuna alalaye kusubiria kufa na njaa.
Shida mazingira yana vikwazo vingi ayachochei watu kufanya kazi kama walivo nchi zilizoendelea, wao wana sera nzuri ziwafanyazo watu wao kufanya kazi.
Kwanza mkuu naomba unielewe Mimi Sina kadi ya chama chochote kile na Wala Siyo Mwanachama wa chama Cha siasa chochote nchini Bali Mimi Ni mpiga Kura TU Ambaye huwa natumia akili yangu kuchagua kiongozi ninayemuona kwangu Ni sahihi bila kujali chama chake..Kama vile nyie munavyomuita membe na wenzake ni wasaliti
kuna haja ya kuweka EFD kwenye makanisa ya kiroho, tumeshuhudia wachungaji wao wengi ni matajiri kupindukia kwa pesa za waumini wao.
Akina kakobe, gwajima na wengineo ni wezi sana.