Opaque
JF-Expert Member
- Oct 24, 2008
- 1,359
- 719
Uchaguzi wa Papa sio kama wa kisiasa, kwamba leo katoka kanda ya Kaskazini basi ajae atoke Kusini. Papa anachaguliwa kwa muongozo wa maombiiko poa askof we2 inapendeza kuwakilisha.................japo itakuwa ngumu askofu we2 wa tz kuchaguliwa kuwa papa wa vatikan