Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.

Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.

Status
Not open for further replies.

hasason

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
1,648
Reaction score
1,542
Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.


Askofu Mkuu wa Kanisa la
Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi.

Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama nya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu vimeendeshwa kikabila, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi.

Askofu Kakobe, alizishauri mamlaka zinazohusika kuvifuatilia vyama hivyo kuvifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwani ni hatari katika mustakabadhi wan chi na wananchi wake.

Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi.

Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.

-------------------------------------

Moderator, mtu huyu aliyeweka thread hii hapa, ni mwongo na mpotoshaji mkubwa. Ameupotosha ujumbe uliotolewa na Askofu Kakobe wakati wa Christmas, kwa maslahi yake. Baada tu ya Christmas, thread iliwekwa hapa iliyohusiana na ujumbe wake. Angalia thread hii hapa:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...acheni-siasa-za-chumbani-siasa-za-haramu.html

WanaJF, Askofu Kakobe si wa kihivyo. Msiweke michango hapa inayotokana na upotoshaji huu, chukueni muda ninyi wenyewe kusikiliza ujumbe wote alioutoa Askofu Kakobe wakati wa Christmas (Full unedited Version), ili mjue upotoshaji wa mtu huyu. Sikilizeni ujumbe wote hapa:

 
Last edited by a moderator:
Kwakifupi

''mtumishi wa Mungu ataka CHADEMA kifutwe mala moja''

...... Mwisho wa kunukuu...
 
Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa. Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi. Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya. Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya. Alisema kuna baadhi ya vyama nya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu vimeendeshwa kikabila, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi. Askofu Kakobe, alizishauri mamlaka zinazohusika kuvifuatilia vyama hivyo kuvifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwani ni hatari katika mustakabadhi wan chi na wananchi wake. Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi. Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.
Eti mkuu kwani hakuvitaja?tuna taka tuvijue
 
serikali inahitajika kuheshimu na kutii sauti ya Mungu hiyo kupitia mchungaji wake Kakobe.
Kifuteni CHADEMA hiyo ndio sauti ya Mungu.
 
Nilikuwa napita natafuta neno CHADEMA bila mafanikio,nikifahamu kabisa HUYU NI HOME BOY WA ZZK
Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.


Askofu Mkuu wa Kanisa la
Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi.

Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama nya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu vimeendeshwa kikabila, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi.

Askofu Kakobe, alizishauri mamlaka zinazohusika kuvifuatilia vyama hivyo kuvifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwani ni hatari katika mustakabadhi wan chi na wananchi wake.

Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi.

Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.
 
Who is kakobe anyways?
Nyi ndiyo wa hamiaji haramu,humjui mtumishi wa Mungu aliye waambia TANESCO wasi pitishe umeme kanisani Akina Ngeleja wakapitisha lakini umeme umeshindwa kuwaka na kupita kwenye nguzo ya kanisani hadi leo.Mungu kulithibitisha hilo kichaa mmoja alipanda kwenye nguzo hiyo na kuchezea nyaya bila madhara yoyote
 
Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.


Askofu Mkuu wa Kanisa la
Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi.

Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama nya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu vimeendeshwa kikabila, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi.

Askofu Kakobe, alizishauri mamlaka zinazohusika kuvifuatilia vyama hivyo kuvifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwani ni hatari katika mustakabadhi wan chi na wananchi wake.

Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi.

Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.

Kakobe anatafuta pa kutokea kama si hivyo ni njaa inamsumbua, katika wachungaji wenye dhambi katika nchi hii huyu anaongoza kwani akiwa kanisani upokonya fedha na pete na mikufu ya thamani ya waumini kwa kuwarubuni kwa kupitia USHIRIKINA wake na ni vema wewe mjumbe wake ebu tuambie tunasikia yupo kwenye kundi la imani ya FREEMASON(ILLUMINANT) je ni kweli?
 
Nyi ndiyo wa hamiaji haramu,humjui mtumishi wa Mungu aliye waambia TANESCO wasi pitishe umeme kanisani Akina Ngeleja wakapitisha lakini umeme umeshindwa kuwaka na kupita kwenye nguzo ya kanisani hadi leo.Mungu kulithibitisha hilo kichaa mmoja alipanda kwenye nguzo hiyo na kuchezea nyaya bila madhara yoyote

Hata Yesu au Mtume Mohamad wakija hapa duniani na kusema hiki Chama Viongozi wake hawafai kabisa ni wachafu kwa jinsi ninavyowajua mtamkejeli hata Yesu au Mtume Mohamad huku mkiwa tayari kuwatetea akina Mbowe kwa nguvu zote!!!
 
kakobe anatafuta pa kutokea kama si hivyo ni njaa inamsumbua, katika wachungaji wenye dhambi katika nchi hii huyu anaongoza kwani akiwa kanisani upokonya fedha na pete na mikufu ya thamani ya waumini kwa kuwarubuni kwa kupitia ushirikina wake na ni vema wewe mjumbe wake ebu tuambie tunasikia yupo kwenye kundi la imani ya freemason(illuminant) je ni kweli?

angalia unasema habari zisizokuwa na ushahidi, utachapwa na mungu na hautaamini machoni mwako, kama huna cha kusema kaa kimya, watu wa mungu uwezi kuwatukana kama mnavyofanya kwa kina zito
 
Hata Yesu au Mtume Mohamad wakija hapa duniani na kusema hiki Chama Viongozi wake hawafai kabisa ni wachafu kwa jinsi ninavyowajua mtamkejeli hata Yesu au Mtume Mohamad huku mkiwa tayari kuwatetea akina Mbowe kwa nguvu zote!!!

Kwahiyo Kakobe ni Yesu au Muhamad?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom