Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
- Thread starter
- #61
QUOTE=Ndege ya Uchumi;739512]I'm asking a technical question!
Umeme wa Msongo Mkubwa unapaswa kupita wapi kufika Majumbani kwetu?[/QUOTE]
Umeme wa msongo mkubwa sio unaoingia majumbani, huu wa msongo huenda kwenda kituo cha kupoozea umeme kama pale Ubungo disribution station hapo hupoozwa na kupelekwa kwenye trasfoma pozo ambayo ndio from there, huingiza umeme majumbani.
Huu umeme wa msongo mkubwa una madhara ya magnetic interfiarance kwenye electro magnetic waves zozote zinazopita karibu, kama wenye TV ya Analog, ikikaa karibu na simu ya mkononi, simu ikiita utasikia interfiarace ya sauti.
Hoja ya Kakobe, amedhamiria kufungua kituo cha redio na televisheni hapo kanisani kwake hivi karibuni, hivyo anahofia interfiarance ya muingiliano na mitambo yake.
Wataalamu wameshamthibitishia kuwa hakuna madhara ila Mzee sio tuu ni mbishi, bali pia ni king'ang'anizi. Ni hapa ndipo lilipokuja angalizo langu, jee huku ni kumtimikia Mungu?. Anatumia human shield, hivi ndio mapenzi ya Bwana?.
Umeme wa Msongo Mkubwa unapaswa kupita wapi kufika Majumbani kwetu?[/QUOTE]
Umeme wa msongo mkubwa sio unaoingia majumbani, huu wa msongo huenda kwenda kituo cha kupoozea umeme kama pale Ubungo disribution station hapo hupoozwa na kupelekwa kwenye trasfoma pozo ambayo ndio from there, huingiza umeme majumbani.
Huu umeme wa msongo mkubwa una madhara ya magnetic interfiarance kwenye electro magnetic waves zozote zinazopita karibu, kama wenye TV ya Analog, ikikaa karibu na simu ya mkononi, simu ikiita utasikia interfiarace ya sauti.
Hoja ya Kakobe, amedhamiria kufungua kituo cha redio na televisheni hapo kanisani kwake hivi karibuni, hivyo anahofia interfiarance ya muingiliano na mitambo yake.
Wataalamu wameshamthibitishia kuwa hakuna madhara ila Mzee sio tuu ni mbishi, bali pia ni king'ang'anizi. Ni hapa ndipo lilipokuja angalizo langu, jee huku ni kumtimikia Mungu?. Anatumia human shield, hivi ndio mapenzi ya Bwana?.