Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
Gwajima ukitoka hospital watukane Kova na Kikwete
anaweza huyu jamaa, mdomo wake hauna gate valve
Gwajima ukitoka hospital watukane Kova na Kikwete
Eeee Mungu, turejeshee Askofu wetu Kanisani, Iwapo kuna njama chafu na mungu mwenye nguvu ambaye wewe unamtumikia akulinde, ulimkemea askofu kwa kosa la usaliti, yuda alisaliti pia ndo maana ni nadra sana mtu kuzaa mtoto na kumwita yuda, usaliti ni mbaya tumeona kwenye maandiko kibao ktika vitabu vitakatifu, ulifanya lililojema.
Askofu aliyesaliti wengine alipaswa kutubu na kuomba radhi, matusi yapi ambayo gwajima kasema kuliko usaliti??? enyi wenye hekima, gwajima kaja anatembea arudi akiwa anatembea mwenyewe, hadithi na mambo kama hayo tusingependa kusikia.
Mungu aliyeweka mbingu na viongozi ktk duniani basi akulinde na uovu wa aina yoyote, iwapo utapotea kwa kukemea usaliti, wasaliti watamchukiza mungu hadi kiwango cha mwisho.
Naomba tumuombee askofu aliyejasiri ktk dunia ya leo ya mwenye nguvu mpishe.
Nawasilisha
Jamani tuache mapenzi ya ukatoliki tuseme ukweli kosa alilofanya gwajima nilipi ukisema ukweli unakuwa mtumwa kwenye nchi hii?mbona askofu amekula hela za escrow hajaitwa police mm ni mkatoliki ila cjapendezwa na hili jambo lililo mkuta gwajima ila Mungu hawezi kuwaacha wenye roho mbaya ipo cku ukweli utakuwa wazi naimani kanisa katoliki linauwezo wakubadilisha chama endapo wataamua kwani kuwa karibu na serikali kunafanya washindwe kujiamulia nihayo tu
Jamani tuache mapenzi ya ukatoliki tuseme ukweli kosa alilofanya gwajima nilipi ukisema ukweli unakuwa mtumwa kwenye nchi hii?mbona askofu amekula hela za escrow hajaitwa police mm ni mkatoliki ila cjapendezwa na hili jambo lililo mkuta gwajima ila Mungu hawezi kuwaacha wenye roho mbaya ipo cku ukweli utakuwa wazi naimani kanisa katoliki linauwezo wakubadilisha chama endapo wataamua kwani kuwa karibu na serikali kunafanya washindwe kujiamulia nihayo tu
Gwajima ukitoka hospital watukane Kova na Kikwete
Usitoe lawama ambazo huna ujualo, kukamatwa kwa Gwajima hakutokani na kanisa la RC, bali ni kutokana na polisi kuona clip na kusikia jinsi Gwajima alivokuwa akiimuita Askofu Pengo mpuuzi, mjinga na ameshiba maharage, eti hana tofauti na mtoto mdogo alievalishwa pampazi. Yawezekana hayo yasiwe matusi, lakini pia fahamu kukamatwa kwa Gwajima haihusiani na Pengovkushitaki au kufungua kesi yoyote dhidi ya Gwajima.Jamani tuache mapenzi ya ukatoliki tuseme ukweli kosa alilofanya gwajima nilipi ukisema ukweli unakuwa mtumwa kwenye nchi hii?mbona askofu amekula hela za escrow hajaitwa police mm ni mkatoliki ila cjapendezwa na hili jambo lililo mkuta gwajima ila Mungu hawezi kuwaacha wenye roho mbaya ipo cku ukweli utakuwa wazi naimani kanisa katoliki linauwezo wakubadilisha chama endapo wataamua kwani kuwa karibu na serikali kunafanya washindwe kujiamulia nihayo tu
Nani kahubiri leo?
Nani kahubiri leo?
Eeee Mungu, turejeshee Askofu wetu Kanisani, Iwapo kuna njama chafu na mungu mwenye nguvu ambaye wewe unamtumikia akulinde, ulimkemea askofu kwa kosa la usaliti, yuda alisaliti pia ndo maana ni nadra sana mtu kuzaa mtoto na kumwita yuda, usaliti ni mbaya tumeona kwenye maandiko kibao ktika vitabu vitakatifu, ulifanya lililojema.
Askofu aliyesaliti wengine alipaswa kutubu na kuomba radhi, matusi yapi ambayo gwajima kasema kuliko usaliti??? enyi wenye hekima, gwajima kaja anatembea arudi akiwa anatembea mwenyewe, hadithi na mambo kama hayo tusingependa kusikia.
Mungu aliyeweka mbingu na viongozi ktk duniani basi akulinde na uovu wa aina yoyote, iwapo utapotea kwa kukemea usaliti, wasaliti watamchukiza mungu hadi kiwango cha mwisho.
Naomba tumuombee askofu aliyejasiri ktk dunia ya leo ya mwenye nguvu mpishe.
Nawasilisha
Nani kahubiri leo?
Eeee Mungu, turejeshee Askofu wetu Kanisani, Iwapo kuna njama chafu na mungu mwenye nguvu ambaye wewe unamtumikia akulinde, ulimkemea askofu kwa kosa la usaliti, yuda alisaliti pia ndo maana ni nadra sana mtu kuzaa mtoto na kumwita yuda, usaliti ni mbaya tumeona kwenye maandiko kibao ktika vitabu vitakatifu, ulifanya lililojema.
Askofu aliyesaliti wengine alipaswa kutubu na kuomba radhi, matusi yapi ambayo gwajima kasema kuliko usaliti??? enyi wenye hekima, gwajima kaja anatembea arudi akiwa anatembea mwenyewe, hadithi na mambo kama hayo tusingependa kusikia.
Mungu aliyeweka mbingu na viongozi ktk duniani basi akulinde na uovu wa aina yoyote, iwapo utapotea kwa kukemea usaliti, wasaliti watamchukiza mungu hadi kiwango cha mwisho.
Naomba tumuombee askofu aliyejasiri ktk dunia ya leo ya mwenye nguvu mpishe.
Nawasilisha