mungu ndo nini mkuu? Kwa kiingereza God ni tofauti na god/gods. Kwa kiswahili mungu ni tofauti na Mungu. Kila wakati tujitahidi kuanza kwa herufi kubwa!
Masahisho
mungu ndo nini mkuu? Kwa kiingereza God ni tofauti na god/gods. Kwa kiswahili mungu ni tofauti na Mungu. Kila wakati tujitahidi kuanza kwa herufi kubwa!
Masahisho
Eeee Mungu, turejeshee Askofu wetu Kanisani, Iwapo kuna njama chafu na mungu mwenye nguvu ambaye wewe unamtumikia akulinde, ulimkemea askofu kwa kosa la usaliti, yuda alisaliti pia ndo maana ni nadra sana mtu kuzaa mtoto na kumwita yuda, usaliti ni mbaya tumeona kwenye maandiko kibao ktika vitabu vitakatifu, ulifanya lililojema.
Askofu aliyesaliti wengine alipaswa kutubu na kuomba radhi, matusi yapi ambayo gwajima kasema kuliko usaliti??? enyi wenye hekima, gwajima kaja anatembea arudi akiwa anatembea mwenyewe, hadithi na mambo kama hayo tusingependa kusikia.
Mungu aliyeweka mbingu na viongozi ktk duniani basi akulinde na uovu wa aina yoyote, iwapo utapotea kwa kukemea usaliti, wasaliti watamchukiza mungu hadi kiwango cha mwisho.
Naomba tumuombee askofu aliyejasiri ktk dunia ya leo ya mwenye nguvu mpishe.
Nawasilisha
Mungu ni wa wote Si wa gwajima na Wewe tu.Eeee Mungu, turejeshee Askofu wetu Kanisani, Iwapo kuna njama chafu na mungu mwenye nguvu ambaye wewe unamtumikia akulinde, ulimkemea askofu kwa kosa la usaliti, yuda alisaliti pia ndo maana ni nadra sana mtu kuzaa mtoto na kumwita yuda, usaliti ni mbaya tumeona kwenye maandiko kibao ktika vitabu vitakatifu, ulifanya lililojema.
Askofu aliyesaliti wengine alipaswa kutubu na kuomba radhi, matusi yapi ambayo gwajima kasema kuliko usaliti??? enyi wenye hekima, gwajima kaja anatembea arudi akiwa anatembea mwenyewe, hadithi na mambo kama hayo tusingependa kusikia.
Mungu aliyeweka mbingu na viongozi ktk duniani basi akulinde na uovu wa aina yoyote, iwapo utapotea kwa kukemea usaliti, wasaliti watamchukiza mungu hadi kiwango cha mwisho.
Naomba tumuombee askofu aliyejasiri ktk dunia ya leo ya mwenye nguvu mpishe.
Nawasilisha
kukalia vile viti hadi utoe buku?Leo kakosa Buku Buku za kukalia viti na sadaka
Mungu gani unamuomba??
Gwajima amekamatwa na Polisi sio kanisa katoliki. wewe kama unamuweka kati ya watu wenye hekima ni mapenzi yako. kumbuka hata kama Pengo alikosea hakupaswa kuitwa mpuuzi. Wewe kama ni mkatoliki kweli basi utaelewa kuwa jambo alilofanya Gwajima ni jambo la hatari kwani sio Wakotoliki wote walifurahi kiongozi wao kutukana na hata waumini wa medhehebu mengine. Any way Gwajima amesamehewa.
Hivi kanisa lake si la ufufuo na Uzima,imekuaje kapelekwa Hospitali badala ya kupelekwa kwenye maombi?
KUJARIBU KUMTOROSHA MCHUNGAJI GWAJIMA KUTOKA HOSP.YA TMJ MIKOCHENI.
Mtoa taarifa ASP Pamphil Mholery OCS Kawe akiwa ni ofisa wa zamu mkoa Kinondoni,trehe 29.3.2015 majira ya 0300hrs alipata taarifa kutoka vyanzo vya taarifa kwamba kuna njama za kumtorosha mtuhumiwa.
Akiongozana na makachero majira ya 03:30hrs walifika eneo hilo na kukuta kweli kuna hali sio ya kawaida kwa kuwepo kundi la watu kwa usiku ule.
Wakawakamata watuhumiwa 15 na mmoja wao aitwae Ekomia Diagare alikutwa na begi ambalo lilikutwa na vitu vifuatavyo alivyokuwa akipelekewa Gwajima.
1.Silaha pisto Bereta no CAT 5802 ikiwa na risasi 3.
2.Risasi 17 za shortgun.
3.Vitabu check viwili
4.Passport ya kusafiria yenye jina Gwajima Mathias Joseph no AB544809.
5.Kitabu cha Equity Bank in check.
6.Document mbali mbali za kampuni ya Puma.
7.Charger ya simu na tablets
8.Suruali mbili,makoti mawili,singlend moja,socks pea mbili na boxer moja.
Watuhumiwa wote wako police Oyster kwa mahojiano.
Wewe hujui kutukana mtu matusi hadhalani ni kosa la jinai? hata kamma amekuchukulia mkeo. Kwanza askofu gani awe anarusha matusi hadhalani hivo? I dought!! unaweza kutumia maneno hata ya kejeli tu kuwasilisha ujumbe nasio lazima utukane, Gwajima amedhalilisha "Uaskofu" eti mtumishi wa Mungu, Mungu gani? kwanza kesi yake ya kuiba mke wa mtu imeishia wapi?
Anahitahika zaidi polisi kuliko anavyohitajika kwenye uongo wa misikule
KUJARIBU KUMTOROSHA MCHUNGAJI GWAJIMA KUTOKA HOSP.YA TMJ MIKOCHENI.
Mtoa taarifa ASP Pamphil Mholery OCS Kawe akiwa ni ofisa wa zamu mkoa Kinondoni,trehe 29.3.2015 majira ya 0300hrs alipata taarifa kutoka vyanzo vya taarifa kwamba kuna njama za kumtorosha mtuhumiwa.
Akiongozana na makachero majira ya 03:30hrs walifika eneo hilo na kukuta kweli kuna hali sio ya kawaida kwa kuwepo kundi la watu kwa usiku ule.
Wakawakamata watuhumiwa 15 na mmoja wao aitwae Ekomia Diagare alikutwa na begi ambalo lilikutwa na vitu vifuatavyo alivyokuwa akipelekewa Gwajima.
1.Silaha pisto Bereta no CAT 5802 ikiwa na risasi 3.
2.Risasi 17 za shortgun.
3.Vitabu check viwili
4.Passport ya kusafiria yenye jina Gwajima Mathias Joseph no AB544809.
5.Kitabu cha Equity Bank in check.
6.Document mbali mbali za kampuni ya Puma.
7.Charger ya simu na tablets
8.Suruali mbili,makoti mawili,singlend moja,socks pea mbili na boxer moja.
Watuhumiwa wote wako police Oyster kwa mahojiano.