johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,897
Mbunge wa Kawe baba askofu Gwajima amesema jimbo lake la Kawe lina barabara zenye urefu wa takribani kilomita 1400 sawa na umbali wa kutoka DSM hadi Kigoma lakini Tarura wamepewa bajeti ya kukarabati kilomita 130 tu.
Gwajima amesema hii haikubaliki na kuwataka watu wa Tarura kujiongeza kwani wao wanahitaji kupewa fungu kubwa la fedha za ukarabati kuliko Tanroads.
Gwajima alikuwa akichangia hotuba ya Rais Magufuli bungeni jijini Dodoma leo.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Gwajima amesema hii haikubaliki na kuwataka watu wa Tarura kujiongeza kwani wao wanahitaji kupewa fungu kubwa la fedha za ukarabati kuliko Tanroads.
Gwajima alikuwa akichangia hotuba ya Rais Magufuli bungeni jijini Dodoma leo.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!