Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,059
- 24,451
Mnafiki mkubwa wewe...Haya mengine mimi siyajui!
Mnafiki mkubwa wewe...Haya mengine mimi siyajui!
Kanisani kwa Gwajima unaweza kudhani uko kwenye mkutano wa kisiasa.Huyu jamaa lina mbinu za peke yake dah yote hiyo kutafuta waumini
Nadhani ulichoweka hapa ni nadharia tu.Kumbe Mzungu ndiye anayetuibia ?
Ni hatari kuamini hivyo !
Njia hii sio sahihi sana .!
Nchi inaongozwa Kwa sheria
Na haijengwi na MTU mmoja wala haiongizwi Kwa kutumia akili za MTU mmoja.
Tuombe njia hii isiwe chaguo la kudumu
mbona umebishana na unayekubaliana naye kwa mujibu wa post yako iliyofuataAcha kubadiri ujumbe nyau ww sisi tumemuelewa gwajima ila nadhan hamkutegemea kwa aliyoyasema leo umbea umewashuka mlidhan kila cku atamsema makonda looo! Aibu yenu hiyo
Mkuu haihitaji uchambuzi ili kujua wasomi wanatuangusha sana trust me hata professor mruma mnayemuona shujaa leo akipewa wizara ya nishati na madini usishangae usione mabadilko yoyote!!!!Nadhani unaweka mwanvuli wa lawama kwa wasomi bila kufanya uchambuzi makini.
Hawakuelewa maneno ya watu wenye hekima na busara waliosema, ndugu wakigombana, chukua jembe ukalime.Waliokuwa wamewekeza akili zao kwa Gwajima wakidhan yuko against Magu wameanza kurudiwa na akili!
Tuliwaambia humu vita ya Makonda na Gwajima Ni igizo la Vijana wa Mkumbusho bila ya waigizaji kujua Kama wanaigiza
safi mkuuKaongea ukweli kabisa tuna wasomi wengi lakini wanaishia kwenye research na makaratasi ila utekelezaji zero kabisa!!!! sasa muhongo na CV yake nzito ya mambo ya miamba alishindwa kujua tunaibiwa all along???? Dah kaz kwelikweli
Ukweli siku zote !!!!! Duh...mahaba yaliyopitiliza.Gwajima huwa anasema ukweli siku zote.