Uchaguzi 2020 Gwajima Fursa hii hapa ya kupata kura nje nje ila usitoe rushwa ni Boko Basihaya

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,944
21,737
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima Mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto Bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa Rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
 
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Ningekuwa mm ndiyo mshauri wa Halima ningemshauri mambo ya siasa ayaache tu maana aliaminiwa na wananchi wa Kawe kwa miaka 10 lakini hakuna alichokifanya.
 
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Mtetezi wa Kawe amepatika cha muhimu ifikapo October 28 tumuonyeshe yule bibi kama tumemchoka kwa kumpa Gwajima kura nyingi na za kishindo.
 
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Ni yule gwajima anaesema misikiti na madrasa ziwe Sunday schools
Gwajima hata angegombea na mbwa mimi na waislamu wenzangu tungechagua mbwa
 
Tusidanganyike kama kakukuwa na maendeleo ni serikali iliyomadarakani ndiyo imeshinfwa kwani ndio wanaochukua kodi zetu!
Sauti ya Halima Mder inasikika bundeni! Hatutaki ndiyooooo!!! Hata wakati hapastahili! Wenye ndiyoooo ni wa rangi ya kijani! Hatuwataki hao!!
 
Halima ni jembe wana Kawe msifanye kosa kumweka huyo msanii. Kanisa limemshinda ameamua kugeukia siasa.
tunahitaji maendeleo Halima kashindwa katika hili, kawe inazidiwa mpaka na buza wana barabara za lami mitaani na taa za barabarani sisi hatuna.
 
Tutamchagua halima ,fanyen mfanyavyo,binukeni mgalahare ,mbunge ni halima mdee tu
 
Mtetezi wa Kawe amepatika cha muhimu ifikapo October 28 tumuonyeshe yule bibi kama tumemchoka kwa kumpa Gwajima kura nyingi na za kishindo.
Huyo unayesema mtetezi sasa ndiyo aende eneo husika akapige porojo kwa hao wananchi.
 
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Gwajima hafai kuwa hata kiongozi wa mtaa ana kashfa tele na ni mchoches ukabila.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom