Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,388
Mwandishi: Kusaidia kwenye hii janga, sijui ungependa kutuambiaje?
Gwajima: Kwanza hii hali ni hali ya kusikitisha sana, ni hali ya hatari, mbaya na hali ya kuhuzunisha kwelikweli na mimi hata siamini mtu anaweza kuruhusu wananchi, binadamu wakawa na hali ya maisha hii.
Kwa miaka kumi na mitano mtu ni mbunge wa jimbo hili, maeneo haya Basihaya, Chasimba, Chachui mafuriko wananchi wanaelea, kila mwaka wananchi wananunua vitu vinakwenda na maji, ni hali hatarishi kwa kwa maisha ya wanadamu.
Je yeye anaishi hapa? Je yeye anafanya kazi hapa? Wananchi wanakula wapi sasa hivi? Kwa mfano sasa hivi magodoro yameloana, vitanda vimeshaondoka.
Sasa kwa miaka 15 mbunge alafu anasema nataka tena, unataka watu wafe? Kwa hio ni jambo la kuhuzunisha, niwape pole wananchi na niombe tushirikiane tumalize tatizo hili na litamalizika.
==========
Gwajima: Kwanza hii hali ni hali ya kusikitisha sana, ni hali ya hatari, mbaya na hali ya kuhuzunisha kwelikweli na mimi hata siamini mtu anaweza kuruhusu wananchi, binadamu wakawa na hali ya maisha hii.
Kwa miaka kumi na mitano mtu ni mbunge wa jimbo hili, maeneo haya Basihaya, Chasimba, Chachui mafuriko wananchi wanaelea, kila mwaka wananchi wananunua vitu vinakwenda na maji, ni hali hatarishi kwa kwa maisha ya wanadamu.
Je yeye anaishi hapa? Je yeye anafanya kazi hapa? Wananchi wanakula wapi sasa hivi? Kwa mfano sasa hivi magodoro yameloana, vitanda vimeshaondoka.
Sasa kwa miaka 15 mbunge alafu anasema nataka tena, unataka watu wafe? Kwa hio ni jambo la kuhuzunisha, niwape pole wananchi na niombe tushirikiane tumalize tatizo hili na litamalizika.
==========