Askofu Gamanywa: Makonda yuko sahihi Ushoga umekatazwa kwenye Biblia, wananchi acheni kushabikia dhambi

Waulize pia wao Guantanamo wanawafanya nini watuhumiwa wa ugaidi zaidi ya miaka kumi?
Kwanini niwaulize wakati wao wametenda?, Napendekeza tufanye mojawapo kati ya haya matatu tunayo fanya siku zote, tutume wasio julikana wetu wamteke na kumpoteza Pompeo/Trump, tumfungulie Pompeo/Trump kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha au watuoneshe makaburi ya babu wa babu yao vinginevyo tuwafute uraia wa marekani na la ziada ni ku piga bann wasikanyage Tanzania. Sisi hatujaribiwi bwana, here...wasichezee awamu ya 6-1 bwana! .
 
Maaskofu wengi waskuizi ni vibaraka wa wanasiasa ni wafata ya dunia kuliko ya Mungu,wanajali pesa na umaarufu hawana wema,utu na hawawafikirii hata maskini!! In aibu kuu kuwa wanaongoza taasisi kubwa zilizopewa heshma kwa miaka mingi. Ndiyo maana vijana hawahudhurii makanisani skuizi kisa kuitwa kwenye karamu hoteli za kifahari namtu muovu basi mtu huyo anaonekana mwema aliyepitiliza na kuombewa awe kiongozi mkuu. Wengine wanasababisha mauaji alafu wanataka kutoroka badala ya kupambana kuokoa waathirika... SHAME!! SHAME!! SHAME!!!
 
Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.

Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.

Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.

Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.

Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Eti Askofu.....hahahaha...aendelee na hao mbuzi wake....POMPEO ni issue nyingine kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo gamanywa akiitwa kupekuliwa katakoni mwake kama amemanywa atajiskiaje?? Hivi ni huyu Mr. Wowowo tuu ndiye anayepinga ushoga mpaka azuiliwe kuingia USA? Viongozi wengine wooote hata wadini hawaupingi?? Uongozi wa dini siku hizi ni kazi kama udalali tuu saingine wasemayo yapuuzwe kama tumpuuziavyo mwenzao zakarii ka kobe
 
Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.

Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.

Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.

Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.

Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Andhani issue Ni ushoga tu?

Si wangemkimbiza Uhuru Kenyatta?

There is more
 
Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.

Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.

Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.

Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.

Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Huyu naye hadi aue kama Mwamposa ndo Atapata akili
 
Kwani taarifa ya Pompeo imetaja ushoga pekee.

Ndo tatizo la maaskofu kumiliki kadi za vyama vya siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba imetaja ushoga.. Ni kwamba haijataja ushoga kabisa. Pitia hapa
 
Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.

Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.

Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.

Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.

Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Shida. Mna jenga hoja ya uongo kuhusu yaliyo semwa na Marekani kuhusu Makonda. Kama mmefuatilia ban ya huyo Makonda tatizo la ushoga wala halimo.
Hebu jikiteni kwenye hoja.. Maana mna taka kutuhamisha reli. Jibuni hoja za kuwanyima watu haki za kuishi, haki za demokrasia.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.

Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.

Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.

Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.

Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Hawa maaskofu jambo linapohusu viongozi huwa wanaweka ubongo wao pembeni, kinachosemwa kingine na anachosema kingine wala havihusiani, na nyie wafuasi muwe mnawasahihisha wanapowadanganya msikae kama makinda ya ndege yanasubiri chakula toka kwa mama yao.
 
Huyu askofu ni miongoni mwa wale maaskofu wapigaji. Makanisa yao ndio mtaji wa kuvuna pesa za wakristo mazezeta.

Tumpuuze tu huyo askofu.
 
Hivi hawa watu wanataka kupotosha sababu hasa na kutaka huruma na mambo ya ushoga. Kwani suala la kukataa ushoga kulitakiwa kuwe na ushahidi mbona ilikuwa wazi. Hapa kuna shutuma kubwa sana na kama kujibu wazijibu zote sio vipande. Kuna viongozi wadini wengi tu hata maraisi lakini umesikia wamepigwa Ban. Hivi vijitu njaa vya dini shida sana na karibu utasikia shekh wa mkoa wanafanya dua kumuombea. ogopa njaa sana
 
Hawa maaskofu jambo linapohusu viongozi huwa wanaweka ubongo wao pembeni, kinachosemwa kingine na anachosema kingine wala havihusiani, na nyie wafuasi muwe mnawasahihisha wanapowadanganya msikae kama makinda ya ndege yanasubiri chakula toka kwa mama yao.
Mimi huwa nawashangaa sana waumini wanaoongozwa na hao maaskofu, yaani wako kama mazezeta, hawawapingi au kuwahoji hao maaskofu kwa hizo kauli zao za kipuuzi.

Njia bora ya kuwaadhibu hao maaskofu ni kugoma kutoa sadaka kwenye makanisa yao, sadaka zikipungua akili zitawakaa sawa.
 
Hoja ya namna hii kuendelea kuijadili ni kujiunga na kundi la uzwazwa.
Wakristo tumekatazwa kuwanenea mabaya watumishi wa Mungu.lakini nadhani huyu ni wa mungu sio wa Mungu hivyo hastahili heshima na ni zwazwa tuu.
Aliyesema habari za ushoga ni nani? Mtu katajwa uuaji wa watu kisha anayejiita askofu anamuunga mkono!
$%&#!?
 
Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.

Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.

Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.

Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.

Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
😂😂😂 kama yulivyosema watanadilisha barua iwe ushoga mbona hamuongelei waliosema wenzetu hawana utamaduni wa siri kama ni ushoga wangesema
 
Back
Top Bottom