johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Ni ushauri murua kabisa uliotolewa na baba askofu Munga kupitia waraka akiwaasa Chadema kwamba chama cha siasa ni mali ya umma.
Naomba ushauri huu upokelewe pia na vyama vyote vya Upinzani ambavyo umiliki wao ni kama wa binafsi mfano TLP, ACT wazalendo, UDP, Chauma nk
Nimpongeze sana Dr Munga kwa kutomung'unya maneno na kukieleza ukweli chama kikuu cha Upinzani ambacho kimepoteza mwelekeo.
Nitauweka waraka hapa.
Maendeleo hayana vyama!
Naomba ushauri huu upokelewe pia na vyama vyote vya Upinzani ambavyo umiliki wao ni kama wa binafsi mfano TLP, ACT wazalendo, UDP, Chauma nk
Nimpongeze sana Dr Munga kwa kutomung'unya maneno na kukieleza ukweli chama kikuu cha Upinzani ambacho kimepoteza mwelekeo.
Nitauweka waraka hapa.
Maendeleo hayana vyama!