johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Askofu Dr Hilinti wa KKKT Dayosisi ya Kati amemwomba Rais Samia ateue Waziri mwingine kutokea Singida ashirikiane na Dr Mwigullu PhD kuwaletea Wananchi Maendeleo.
Askofu Dr Hilinti amesema hakuna Ubaya Singida kuongezwa Waziri Kwani kuna mikoa imetoa mawaziri zaidi ya Watatu.
Askofu Dr Hilinti amesema hayo wakati akimpa salamu za Dayosisi ya Kati Waziri Mwigullu katika Ibada ya Sikukuu ya Utatu Mtakatifu.
Source: Upendo TV
Askofu Dr Hilinti amesema hakuna Ubaya Singida kuongezwa Waziri Kwani kuna mikoa imetoa mawaziri zaidi ya Watatu.
Askofu Dr Hilinti amesema hayo wakati akimpa salamu za Dayosisi ya Kati Waziri Mwigullu katika Ibada ya Sikukuu ya Utatu Mtakatifu.
Source: Upendo TV