johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Ilikuwa kwenye Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Shule na mambo mbalimbali ambapo mgeni rasmi alikuwa Dr Mwigullu Nchemba PhD aliyeongozana na wabunge kadhaa
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Singida Mjini akasema atamuomba Mungu wa mbinguni ampe hekima Rais ya Kumpendeza kuwaongezea Waziri kwani kuna mikoa ina Mawaziri zaidi ya Watatu
Mungu wa mbinguni amejibu Maombi!
Mlale unono!
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Singida Mjini akasema atamuomba Mungu wa mbinguni ampe hekima Rais ya Kumpendeza kuwaongezea Waziri kwani kuna mikoa ina Mawaziri zaidi ya Watatu
Mungu wa mbinguni amejibu Maombi!
Mlale unono!