Askofu Bagonza: CAG vs TAKUKURU

Acha kunipakazia matope! Inanihusu nini
 

Tupe mrejesho wa uchunguzi wa Kange Lugola na hatua iliyochukuliwa. Wananchi wajinga washaisha mjomba.
 
Huu Ubabe wa Mkulu... Mahara yake yatachukua generation kuyarejebisha.
 
VIJIWENI hakuna mtu anabishana juu ya DED na DC na CAG na DG-PCCB

Vijiweni hatujui wala hatujali kujua DED ni nini wala DG-PCCB ni nani

Wewe Askofu unakaa kijiweni, kijiwe gani?

Kwanza hutakiwi kukaa kijiweni tangia hapo.
Daa ! CCM wana uelewa mdogo sana wa mambo. Vipi kwenye kampeni zenu kutakuwa ubwabwa maharage?
 

Wewe ndugu, likely una tatizo huko upstairs....

Ama wewe inawezekana ni li-robot fulani ambalo liko programmed na kuwekewa kiitikio cha "Mbowe na CHADEMA" kwa kila utakachooandika humu...!!

Askofu hajataja CHADEMA wala CCM ama chama chochote popote katika andiko lake, wewe huyooo unaingiza ishu za CHADEMA...

Ni wazi hata hujaelewa kilichomo kwenye andiko la Askofu Bagonza...

Pole sana...
 
Kweli
 
Kwanini inatumika nguvu kubwa ya kupinga takukuru wasifanye kazi Yao? Kuna nini chadema mpaka wanaogopa?
 
Ilikuwaje Eva akamsaliti Adam kwenye bustani ya Eden na binadamu tukapewa adhabu ya mauti. "Mwanzo 3:13 Bwana Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka alinidanganya, nikala."

Vipi na Yuda Iskariote kumsaliti Yesu. "Luka 22:3 Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara."

Matukio hayo ya kwenye Biblia yanadhihirisha kuwa Rushwa imekuwepo na itakuwepo milele kwa sababu mbalimbali za udhaifu wa binadamu kama mifano michache aliyotoa Askofu.

Swali la kujiuliza "je, mifumo ya utendaji inaweza kuondoa rushwa ndani ya mioyo ya binadamu?"
 
Itaondoa kwa mtindo wa uwajibikaji na kuwajibishwa.
 
Asante, nitaifanyia mchakato.
P
 
Asante, nitaifanyia mchakato.
P
 
Bagonza tunajua ni kaada wa Chadema


Km Kweli anakipenda chama chake asimuogope Mbowe amwambie arudishe bilion 8
Haya sasa mzee wa kuongea ushuzi katika ubora wako nafikir message sent km cyo delivery
Kawaite tena wenzako USSR,Patriot na mje na kashfa yenu ya ukabila kaongea Bagonza sa hvi mara kada wa cdm,Toa tena na sifa nyngine ya baba Askofu...
 
Haya
Haya Mambo inabidi wafadhili wetu waambiwe pia maana CCM Ni kundi la hujuma na dhuluma kwa wanyonge chadema wamepewa hati Safi leo hii hao tako huru wanatumika kisiasa kwasababu uchaguzi umekaribia ujinga kabisa.
Walipenda nzi wa kijani waone chadema wanapata hati chafu. Hawo si mabw.egeeee.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…