Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Acha kunipakazia matope! Inanihusu nini
Bia yetu inakuhusu hii
"Tuache kutukuza ukosefu wa uaminifu unaotunufaisha. Mtu akikosa uaminifu katika mambo yake, tukamtukuza kwa kuwa kukosa uaminifu kwake kunalifunaisha kundi letu, tujue dhambi hiyo itatokea tena na kuliangamiza kundi letu" Dkt. Benson Bagonza, Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe